Vyuma Vime kaza: Serikali ya Kenya kuaza kufuta wanyakazi wake kijumla

Njoo ujione, usi subiri kuambiwa...
Hivi naweza ma albino tanzania wapo?
Nikweli maana slum Kenya ni mobu kila siku tunasikia slum mpya hivi naii kuna slum ngapi
 
Nikweli maana slum Kenya ni mobu kila siku tunasikia slum mpya hivi naii kuna slum ngapi
Kenya kama mahali si planned tunaita slum,
Na Dar more than 70% is unplanned....tafakari
 
Kizungu ni lugha gani?
Msituchafulie kiswahili tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…