Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Habari!
Kuna huu msemo umejipatia umaarufu mitandaoni;( ninasema mitandaoni maana mimi nipo mbali na jamii). Nipo porini, kwa hiyo sijui kinachoendelea mitaani.
Binafsi mimi nipo katika sekta ya kilimo, na sijaona huu ukazaji wa vyuma, maana kama ni marufuku ya export ya mazao, ni ya kawaida Mara zote.
Hakuna popote nimeona mabadiliko katika mfumo wa uchumi ikiwemo demand and supply.
Sasa ndugu zangu, embu kila mmoja tupeane uzoefu popote ulipo:
1. Vyuma vimekukaza vipi
2.Vimeanza lini kukaza?
3. Kwanini vimekaza?
4.Vyuma vitalegea lini?
NB: Binafsi, kusema kweli, sijaona mabadiliko ya kiuchumi katika awamu hii ukilinganisha na ile iliyopita.
Karibu
Aikambee toka porini!
Kuna huu msemo umejipatia umaarufu mitandaoni;( ninasema mitandaoni maana mimi nipo mbali na jamii). Nipo porini, kwa hiyo sijui kinachoendelea mitaani.
Binafsi mimi nipo katika sekta ya kilimo, na sijaona huu ukazaji wa vyuma, maana kama ni marufuku ya export ya mazao, ni ya kawaida Mara zote.
Hakuna popote nimeona mabadiliko katika mfumo wa uchumi ikiwemo demand and supply.
Sasa ndugu zangu, embu kila mmoja tupeane uzoefu popote ulipo:
1. Vyuma vimekukaza vipi
2.Vimeanza lini kukaza?
3. Kwanini vimekaza?
4.Vyuma vitalegea lini?
NB: Binafsi, kusema kweli, sijaona mabadiliko ya kiuchumi katika awamu hii ukilinganisha na ile iliyopita.
Karibu
Aikambee toka porini!