Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati unakuaga timamu hadi rahaUlijuaje matumizi ya hiyo elfu tano ni hayo?
Na je haikuwa anawapatia za sadaka?
Kuna wakati unakuaga timamu hadi raha
Utakuwa na roho ya kimasikini sana weweSikuamini macho yangu.. Huyu jamaa ni tajiri mkubwa mtaani petu.. Sasa kaja na gari lake mpaka dukani, mlango wa mbele ukafunguliwa akashuka binti yake kuja kuomba chenji ya elfu tano dukani ili wagawane; familia ipate pesa ya mboga na baba abakie na pocket money.
Sikuamini macho yangu, nilikuwa na stress za ukata ila ghafla nikajikuta nafarijika...
Sikuamini macho yangu, nilikuwa na stress za ukata ila ghafla nikajikuta nafarijika...
Kwahiyo kwasababu ana gari,basi mkamuita tajiriSikuamini macho yangu.. Huyu jamaa ni tajiri mkubwa mtaani petu.. Sasa kaja na gari lake mpaka dukani, mlango wa mbele ukafunguliwa akashuka binti yake kuja kuomba chenji ya elfu tano dukani ili wagawane; familia ipate pesa ya mboga na baba abakie na pocket money.
Sikuamini macho yangu, nilikuwa na stress za ukata ila ghafla nikajikuta nafarijika...
Mkuu kweli miafrika ndivyo tulivyo eti wote tuwe sawa,wapi na wapi?Mleta mada ovyo kabisaa!!nyie ndo mnaofurahia vyuma kukaza eti matajiri watafilisika
ila kumbuka hata huyo tajiri akifilisika hamuwezi kuwa sawa
Kweli kabisa mkuu.Mawazo ya kamaskini haya,ndiyo maana sisi weusi tunadharaulika.huwezi kuwa timamu halafu ukashangilia shida za mwenzako,tuupige vita umaskini wa mawazo kwani unazaa kizazi kisichokuwa hata na huruma.
ndio hivyo kiongoz kuna jamaa hapa kitaa alikuwa anamfagilia sana magu nikamuuliza kwani kafanya lipi la maana tangu awe rais jamaa anaishia kusema "saivi tunaheshimiana" nikamabia una maana gani anaanza kutoa mifano kama ya mleta madaMkuu kweli miafrika ndivyo tulivyo eti wote tuwe sawa,wapi na wapi?Mleta mada ovyo kabisaa!!
mkuu awamu waimba mapambio ni wengi.ndio hivyo kiongoz kuna jamaa hapa kitaa alikuwa anamfagilia sana magu nikamuuliza kwani kafanya lipi la maana tangu awe rais jamaa anaishia kusema "saivi tunaheshimiana" nikamabia una maana gani anaanza kutoa mifano kama ya mleta mada