Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Chang'ombe na kisasa wapi mbali.. Kutokea wapKisasa mbali mkuu, makole hivi, uhindini, chang'ombe, maeneo ya karibu mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chang'ombe na kisasa wapi mbali.. Kutokea wapKisasa mbali mkuu, makole hivi, uhindini, chang'ombe, maeneo ya karibu mjini
Mkuu hao ni wateja tu wanatamka ofa zao. Doesn't mean ndo bei hiyoChumba self contained na sebule 100k?
Ubarikiwe piaNitakupigia kesho mida ya saa nne tano. Barikiwa
Cha ajabu nini?Chumba self contained na sebule 100k?
Labda nijaribu kuliweka hili swala wazi na kiuhalisia..Dodoma ifahamike haikuwa tayari kwa ujio wa mkupuo wa namna hiyo pia huwezi fananisha na Dar au Mwanza au mikoa mingine ki ujenzi wa nyumba za makazi..nyumba ni chache na idadi imekuwa kubwa ya uhitaji so wenye hizihzi nyumba chache wanadengua na bei inapanda bila utaratibu..so msishangae chumba master ni laki mpaka na nusu na sebuld ndio mpaka mbili..wengi wanaohitaji wanachukua kwa mfumo wa kushare nyumba ya laki nne wawili mpaka watatu..
Mkuu maeneo yoyote tu ya Dodoma mjini sio?? Unapata..150K ndani ya fence angalau vyumba viwili vya kulala na choo vipi sipati?
Hapana ndugu..ifahamike madalali sio wamiliki wa nyumba ..ni kutoa connection ya mmiliki na mpangaji tuu..bei anapangiwa na mmilikiSi kweli madalali,ndio mmepandisha bei!
Mkuu maeneo yoyote tu ya Dodoma mjini sio?? Unapata..
Kisasa..kikuyu na nkuhunguMaeneo gani?
Ukihitaji picha unatumiwa mkuu ndio maana niliweka namba ya watsappThread nzima hakuna hata picha wewe jamaa hizo nyumba hauendagi kuziona nn mpaka upgiwe simu tu ,,unakuta unakosa wateja kisa hakuna picha
Chang'ombe na kisasa wapi mbali.. Kutokea wap
Nimefanikiwa kupata mkuu mitaa ya City SecDom bado sana.. Yan chumba kwa 30
Ok sawa ndugu..ukiwa na uhitaji au jamaa utanjulisha basiNimefanikiwa kupata mkuu mitaa ya City Sec
Una nyumba ya vyumba viwili,sebuleni,jiko,choo na bafu. Ikiwezekana maji na umeme wa kujitegemea. Kodi laki 2 kwa mwezi na malipo kuanzia miezi mitatu.Ok sawa ndugu..ukiwa na uhitaji au jamaa utanjulisha basi
Kuna nyumba inavyumba viwili kimoja master jiko na sebule umeme na maji wakwako ina tiles jipsum na madilisha aluminium inataka laki mbili na nusu miezi sita..itafaa?Una nyumba ya vyumba viwili,sebuleni,jiko,choo na bafu. Ikiwezekana maji na umeme wa kujitegemea. Kodi laki 2 kwa mwezi na malipo kuanzia miezi mitatu.
Akipata atujulishe mkuu,Natafuta nyumba ambayo tunaweza share watu wawili, isiwe nje ya mji sana preferably Image au Iringa road au uzunguni au. Asante