tembea kaloleni makao mapya na uzunguni uko majengo ni uswaziHusika na kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu habari zenu, naomba kufahamishwa mahali naweza pata chumba cha kupangisha hapa Arusha mjini ambacho ni master. Maana hapa nilipofikia panaitwa majengo hakuna aina ya vyumba ninavyotaka na ni uswahilin sana, msaada plz.
kutoka hapa majengo mpaka huko napanda gar za wapitembea kaloleni makao mapya na uzunguni uko majengo ni uswazi
gari ama unatembea mzeee kalolen n hapo standi kuu kwa nyuma na makao mapya n stand ya zaman uko au unataka uko chini kwamromboo ama njirokutoka hapa majengo mpaka huko napanda gar za wapi
Yaani atembee kutoka majengo hadi kaloleni mzee? Unatania au hupajui?gari ama unatembea mzeee kalolen n hapo standi kuu kwa nyuma na makao mapya n stand ya zaman uko au unataka uko chini kwamromboo ama njiro
Unafanya kazi wapi ili iwe rahisi kukupa ushauri? Na ni jinsia gani?Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu habari zenu, naomba kufahamishwa mahali naweza pata chumba cha kupangisha hapa Arusha mjini ambacho ni master. Maana hapa nilipofikia panaitwa majengo hakuna aina ya vyumba ninavyotaka na ni uswahilin sana, msaada plz.
mwenyewe nimeshangaa,arusha haijakaa kutembea kwa mguu kabisaYaani atembee kutoka majengo hadi kaloleni mzee? Unatania au hupajui?
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu habari zenu, naomba kufahamishwa mahali naweza pata chumba cha kupangisha hapa Arusha mjini ambacho ni master. Maana hapa nilipofikia panaitwa majengo hakuna aina ya vyumba ninavyotaka na ni uswahilin sana, msaada plz.
Sasa sisi huyo master wako tunajua anataka chumba gani?Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu habari zenu, naomba kufahamishwa mahali naweza pata chumba cha kupangisha hapa Arusha mjini ambacho ni master. Maana hapa nilipofikia panaitwa majengo hakuna aina ya vyumba ninavyotaka na ni uswahilin sana, msaada plz.
shukran san mkuuVipo, ujaangalia tu vizuri, vimejaa, mcheky huyu Dalali, ni mtu muungwana sana: 0762838280
chiziSasa sisi huyo master wako tunajua anataka chumba gani?
Fallahchizi
ili aelew kua sio mbali... iyo n lugha ya kitaa mzee mm nipo samunge apaYaani atembee kutoka majengo hadi kaloleni mzee? Unatania au hupajui?
kisongoUnafanya kazi wapi ili iwe rahisi kukupa ushauri? Na ni jinsia gani?
huko sio mbali sana na kisongo mkuuIpo Self Sakina,itakufaa?
Kisongo kaa huko huko majengo au mbauda ni rahisi sana kwako.kisongo
Arusha imekaa kiajabu sana, kama anafanya kazi kisongo itakua vigumu kwake akitokea sakina.Ipo Self Sakina,itakufaa?
sawa mkuu, nashukuruKisongo kaa huko huko majengo au mbauda ni rahisi sana kwako.
Niandikie nr yako niwapatie madalali wazurisawa mkuu, nashukuru