Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Kwa wale wote wanaohitaji kupanga Hostel karibu au jirani na maeneo ya UDSM, ARU, Chuo cha TAKWIMU mnakaribishwa. Hostel ipo Changanyikeni. Ina fensi, maji pia na umeme. Uwanja una peving na vyumba vyote vina Ceiling Board. Baadhi ya vyumba ni self contained na vina tiles. Vyumba vipo bei zikiwa ni 30,000/=, 35,000/=, 40,000/=, 45,000/= na 50,000/=. Wote mnakaribishwa.
Kwa mawasilano zaidi piga simu namba zifuatazao:
0626816811
AU
0687374659
Mhusika: Therezia Michael
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
Kwa mawasilano zaidi piga simu namba zifuatazao:
0626816811
AU
0687374659
Mhusika: Therezia Michael
MUBARIKIWE TENA NA BWANA