Hahahah mie pia nina jambo langu hapo ila naomba hakikisha unaleta wanafunzi wa kike wengi zaidi baada ya mie kuingia.Pesa yako tu baba yangu. Wanahaitaji wapangaji, na siyo lazima wawe wameoa au kuolewa. Wanafunzi wengi ni watu ambao bado hawako kwenye ndoa
Aweke picha maana chumba Cha 30,000/ mwezi SI poaHahahah mie pia nina jambo langu hapo ila naomba hakikisha unaleta wanafunzi wa kike wengi zaidi baada ya mie kuingia.
Ila tu sasa mambo ya kufuatiliana fuatiliana ndio sintoyahitaji. Wamama wa kichaga mnakuwaga na mambo ya kishwaini sana.
Ah mie sio mwanafunzi bwna...nataka tuu nitulie hapo niwe na winda mafirst year hahahahaPesa yako tu baba yangu. Wanahaitaji wapangaji, na siyo lazima wawe wameoa au kuolewa. Wanafunzi wengi ni watu ambao bado hawako kwenye ndoa
Unajua kuwa ni kosa kisheria kutangaza biashara ya mtu bila kuwa na maelezo muhimu ya hyo biashara?Aliyeweka tangazo hili humu jukwaani siyo mhusika wa vyumba hivyo. Unashauriwa upige hizo namba zilizowekwa hapo juu kwa mawasiliano zaidi
Unataka kuwinda wadogo zako najuaBachellr pia naruhusiwa kupanga mzee chumba self?
Soma taarifa vizuri, follow instructions. Umesoma sheria? Unaijua sheria inaitwa Law of Agency? Doctrine yake unaijua inafanyaje kazi? Ndiyo maana huwa mnafeli mitihani. Please follow instructions!Unajua kuwa ni kosa kisheria kutangaza biashara ya mtu bila kuwa na maelezo muhimu ya hyo biashara?
Mana huo unaweza ukawa ni aina mojawapo ya uchonganushi?
Au usikute hakuna hyo huduma inayotangazwa na kukawa na labda danguro..
Kwa wewe ni agent..??Soma taarifa vizuri, follow instructions. Umesoma sheria? Unaijua sheria inaitwa Law of Agency? Doctrine yake unaijua inafanyaje kazi? Ndiyo maana huwa mnafeli mitihani. Please follow instructions!
Huenda anapangisha kitanda hicho, zinakuwa kama hostel. Vitanda vi 4 kwa rum 1Aweke picha maana chumba Cha 30,000/ mwezi SI poa
Ha Ha Ha. Njemba nne/room siku umepata kidemu lazima utoe taarifa mapemaHuenda anapangisha kitanda hicho, zinakuwa kama hostel. Vitanda vi 4 kwa rum 1
Ahahaaa....kwa chini ungeandka tu C&PMara hii umeshasahua tena kile ulichoandika hapo juu. Soma tena ulichoandika wewe hapo juu, jibu liko kwenye kile ulichoandika wewe
Kama unataka chumba nit njoo inbox chap unapataNdugu Makanyaga m nahtaji chumba karibu na chuo cha NIT
Unaona shasha! Kumbe vingine vinapatikana humu humu kwenye inbox, lol!Kama unataka chumba nit njoo inbox chap unapata