Kuna habari kuwa vyuo mbalimbali vimeshatoa majina ya waliokata rufaa kwa bodi ya mikopo kwa mwaka 2014/15 vikiwemo chuo cha UDSM na RUCO.Mwenye taarifa ya chuo au vyuo vingine ambavyo vimeshatoa majina atupie humu.Taja jina la chuo ambacho kimeshatoa majina ikiwezekana na idadi ya waliopata.