Vyuo ambavyo vimeshatoa majina ya waliokata rufaa bodi ya mikopo 2014/15

Void ab initio

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
5,720
Reaction score
5,659
Kuna habari kuwa vyuo mbalimbali vimeshatoa majina ya waliokata rufaa kwa bodi ya mikopo kwa mwaka 2014/15 vikiwemo chuo cha UDSM na RUCO.Mwenye taarifa ya chuo au vyuo vingine ambavyo vimeshatoa majina atupie humu.Taja jina la chuo ambacho kimeshatoa majina ikiwezekana na idadi ya waliopata.
 
mbona hamna ma updates wakuu wakat nimepgiwa cm mida hii na mshkaj wangu anasoma TIA anaxema bodi wametema majina ktka chuo hcho?
 
waungwana tupeni hzo updates.. cjui huko ifm wametoa au bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…