Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,785
Omba St Joseph,but diploma Yao ni miaka 3,ni wazuri Kwa IT or computer science
mbona kwa hizo sifa ungeweza kusoma hata degree?hiyo st joseph ni nzuri pia udom wameanzisha diploma ya comp science gharama ziko chiniHabari ndugu wa Jf. naomba kufahamishwa vyuo vya diploma vinabyofahamika kwa ubora wake navyoweza kuomba kusoma diploma ya IT au Comp sayansi kwa sasa. nimeomba CBE nimekosa na muda hivi sasa . Sifa ninazo nina plincipal mbili za siting tofauti.
Habari ndugu wa Jf. naomba kufahamishwa vyuo vya diploma vinabyofahamika kwa ubora wake navyoweza kuomba kusoma diploma ya IT au Comp sayansi kwa sasa. nimeomba CBE nimekosa na muda hivi sasa . Sifa ninazo nina plincipal mbili za siting tofauti.