Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,785
Habari ndugu wa Jf. naomba kufahamishwa vyuo vya diploma vinabyofahamika kwa ubora wake navyoweza kuomba kusoma diploma ya IT au Comp sayansi kwa sasa. nimeomba CBE nimekosa na muda hivi sasa . Sifa ninazo nina plincipal mbili za siting tofauti.