Bensonlukwambe
Senior Member
- May 7, 2013
- 110
- 23
kuna utata kwamba mwaka mpya wa masomo wa elimu ya juu utaanza mwakani mwezi wa pili kwa sababu kuna wanafunzi wanaohitajika kwenda jeshini kwa awamu ya tatu , je ni kweli!?
na pia nimesikia tcu walikua wanataka vyuo vianze mwezi wa kumi mwaka huu lakini kuna mkanganyiko na serikali... ideas pls
na pia nimesikia tcu walikua wanataka vyuo vianze mwezi wa kumi mwaka huu lakini kuna mkanganyiko na serikali... ideas pls