tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 498
Kwa maana hiyo utafiti wako haujakamilika bado? au? unataka kukusanya data JF? Badala ya uko kwenye utafiti wako?View attachment 177206 Katika tafiti zangu zisizo rasmi ila zenye ukweli leo nilijikita katika vyuo vikuu 5 ambavyo vinavyotoa degree " hapa nchi ,kati ya vyuo hivyo 3 ni mahalufu sana hapa tanzania, tena hiki kimoja wapo kipo kule tunapoenda kuijadili katiba yetu, pale nilikutana na semi nyingi au sijui ndio methali zingine nilizipenda sana ila usemi huu sikuupenda kwani sikujua nini maana yake DEGREE ZA CHUPI" niliwashangaa sana hawa wasomi wetu!! Kwani kuna degree za chupi zinatolewa hapa tanzania jamani?
ndio mkuu tujuze hao akina dada wanafuzu kipi mpaka wapate iyo degreedegree za chupi zinapatikana kwa kina dada
ndio mkuu tujuze hao akina dada wanafuzu kipi mpaka wapate iyo degree
degree za CHUPI ni pale binti mwanchuo anapoamua kuwavulia wahadhiri(lectures) chupi yake ili aweze kupata unafuu wa kufaulu katika masomo yake na htimae anajipatia degree yake kwa staili hii. Na hiyo ndio degree ya CHUPI. Maneno yangu sio sheria.
Anawavulia then anawapa wavae wao au...??
are u 12 yrs old...?
Am 9...
Ndio maana ufanisi hamna ,sasa kwanini serikali isibadili huu mfumo baina ya lecture na hao wanafunzi ili kuepuka hizi degree za chupidegree za CHUPI ni pale binti mwanchuo anapoamua kuwavulia wahadhiri(lectures) chupi yake ili aweze kupata unafuu wa kufaulu katika masomo yake na htimae anajipatia degree yake kwa staili hii. Na hiyo ndio degree ya CHUPI. Maneno yangu sio sheria.
Am 9...
utakuwa una certificate ya chupi...l!!
mkuu na mimi huwa natumia ulichovuta kama imebaki nipe kidogo
are u 12 yrs old...?
Hilo suala ni "mahalufu" sana, kwani wewe hujui!!