Vyuo Vikuu Ukraine haviridhishi kitaaluma

Vyuo Vikuu Ukraine haviridhishi kitaaluma

Vyuo Vikuu pendwa havipo hata kwenye top 500 global universities rankings! Hivyo chukueni tahadhari.
**USHAURI: Bora hata umpeleke mtoto vyuo vya South Africa kuliko Ukraine.
Hii tahadhari mbona haikuja kabla ya vita? Huku ni kuchafua CV za wahanga!
 
Naijua, ila ningeopt kijana wangu aende huko Ukraine sio Afrika kusini angalia wahindi ambao ni maexpert Sana hasa IT na medicine wengi walikuwa Ukraine wanasoma.

Kuna faida nyingi kuanzia watu anaokutana nao, walimu wake connection na Ulaya magharibi
Unaijua Stellenbosch? University of Cape Town? Pretoria?
 
Naijua, ila ningeopt kijana wangu aende huko ukraine sio africa kusini angalia wahindi ambao ni maexpert Sana hasa IT na medicine wengi walikuwa ukraine wanasoma
Kuna faida nyingi kuanzia watu anaokutana nao,walimu wake connection na ulaya magharibi
Sasa Ukraine unapata connection gani?
 
Kama ukraine vyuo vyake haviko katika ubora wahindi wasingeenda kusoma huko, wangesomea kwao mbona wanafunzi Tanzania tunaenda India kupata elimu na ndio tunaona wanavyuo vizuri na wao wahindi wameona Ukraine ndio best kuliko India. Acha chuki South Africa hakuna chuo kuliko Ukraine South Africa kama bongo tu imebaki jina
 
Naijua, ila ningeopt kijana wangu aende huko ukraine sio africa kusini angalia wahindi ambao ni maexpert Sana hasa IT na medicine wengi walikuwa ukraine wanasoma
Kuna faida nyingi kuanzia watu anaokutana nao,walimu wake connection na ulaya magharibi
Hao wahindi uwezo wametoka nao kwao. Toa mifano ya watu wengine
 
kama ukraine vyuo vyake haviko katika ubora wahindi wasingeenda kusoma huko wangesomea kwao mbona wanafunzi tz tunaenda india kupata elimu na ndio tunaona wanavyuo vizuri na wao wahindi wameona ukraine ndio best kuliko india. acha chuki south africa hakuna chuo kuliko ukraine south africa kama bongo tu imebaki jina
Tatizo hujawah kuvuka border. umeishia hapo hapo kwenu Ikwiriri
 
We umepotea sana yani kwa ufupi vyuo vya nje hasa ulaya wanacho jali ni ada tu kwa ufupi lipa ada then nenda kapige mishe zingine ukifika muda nenda wanakupa cheti chako tayari we umesha hitimu.Tena wakijua unalipiwa na serikali ndio watakubembeleza mpaka wahakikishe unapata cheti acha kujidanganya.
 
Vyuo Vikuu pendwa havipo hata kwenye top 500 global universities rankings!

Hivyo chukueni tahadhari.

**USHAURI: Bora hata umpeleke mtoto vyuo vya South Africa kuliko Ukraine.

NB: Hakuna mtu makini nchini aliyesoma vyuo tajwa.

Mbona vyuo vyetu vipo lanked kati ya 1,900 - 7,000 lakini bado vinatoa elimu nzuri sana ???
 
Ukiona vyuo vinakimbiliwa na wabongo wanajifanya wako kusoma vyuo nje. Ujue tu hivyo vyuo ni empty,hakuna tofauti na vya hapa bongo. Vyuo vinavyokimbiliwa na wabongo ni vya kichina,india,Ukraine.
 
Ukiona vyuo vinakimbiliwa na wabongo wanajifanya wako kusoma vyuo nje. Ujue tu hivyo vyuo ni empty,hakuna tofauti na vya hapa bongo. Vyuo vinavyokimbiliwa na wabongo ni vya kichina,india,Ukraine.
+Cyprus
 
Back
Top Bottom