Vyuo Vikuu Ukraine haviridhishi kitaaluma

Vyuo Vikuu Ukraine haviridhishi kitaaluma

Vyuo Vikuu pendwa havipo hata kwenye top 500 global universities rankings!

Hivyo chukueni tahadhari.

**USHAURI: Bora hata umpeleke mtoto vyuo vya South Africa kuliko Ukraine.

NB: Hakuna mtu makini nchini aliyesoma vyuo tajwa.
Mkuu criterion yako uliyotumia haivifanyi vyuo vya Ukraine kuwa vibovu kama unavyo jaribu kutuaminisha.
Hiyo NB yako ni a sweeping statement ambayo haina ukweli kwani nawafahamu ambao ni makini.
 
Inasaidia kuwapa exposure wanaoenda kusomea huko
 
Kama ukraine vyuo vyake haviko katika ubora wahindi wasingeenda kusoma huko, wangesomea kwao mbona wanafunzi Tanzania tunaenda India kupata elimu na ndio tunaona wanavyuo vizuri na wao wahindi wameona Ukraine ndio best kuliko India. Acha chuki South Africa hakuna chuo kuliko Ukraine South Africa kama bongo tu imebaki jina
Chief pole kwa masomo hapo India
 
Waafrika ndio bogus waliojazana kusoma Ukrain mbona hakuna wachina kule?
Ukrain nu third world country ila waafrika ushamba wa kwenda ulaya unawasumbya.Ukrain ina faidi ada za wajinga wajinga.
Wanabahati sana wangefyekwa na misiles za Putini
 
Vyuo Vikuu pendwa havipo hata kwenye top 3000 global universities rankings!

Hivyo chukueni tahadhari.

**USHAURI: Bora hata umpeleke mtoto vyuo vya South Africa kuliko Ukraine.

NB: Hakuna mtu makini nchini aliyesoma vyuo tajwa.
huu ushauri wa kwenye watsup huu na vijiwe vya umbea
 
Back
Top Bottom