Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
- Thread starter
- #21
Hawana pesa maisha yao ni mshahara tu kwa walio wengi 90%+ sasa hao si misukule tu, kuna pesa benki zimelala wao wanajenga Nyumba za kuishi badala ya kufungua hardwares stores na miradi mingine, unaeezaje kukopa milioni80-100,-150 unaenda kuizika hizo si akili za misukule. Hivi unajua 150M ni sawa na kununua Shamba la ekari ngapi na ukapanda miti kwenye hekari zote?Punguza dhara kwa kazi za watu. Unaita ualimu wa chuo kikuu ni sawa na msukule?. Please.
Waamke waache ufala.