habari zenu wana jamvi kwanza natanguliza shukrani zangu kwenu wana jamvi kwa ushirikiano wenu mchango wenu ni mkubwa kwangu.
Nawaombeni mnisaidie kwa hili mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha nne mwaka 2009 nikapata point 28 sasa nimejiunda nataka nijiunge na chuo cha UANDISHI wA HABARI kama kuna yeyote mwenye kujua ni lini vyuo vinafunguliwa anijuze au kama kuna mwenye contact anijuze napatikana mbezi Dar es salaam my contact number 0759628104 emael aanodius@yahoo.com
habari zenu wana jamvi kwanza natanguliza shukrani zangu kwenu wana jamvi kwa ushirikiano wenu mchango wenu ni mkubwa kwangu.
Nawaombeni mnisaidie kwa hili mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha nne mwaka 2009 nikapata point 28 sasa nimejiunda nataka nijiunge na chuo cha UANDISHI wA HABARI kama kuna yeyote mwenye kujua ni lini vyuo vinafunguliwa anijuze au kama kuna mwenye contact anijuze napatikana mbezi Dar es salaam my contact number 0759628104 emael aanodius@yahoo.com