Vyuo vinavyoongoza kwa vijana ku disco....na wengi kutomaliza chuo

Vyuo vinavyoongoza kwa vijana ku disco....na wengi kutomaliza chuo

toto zuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
265
Reaction score
279
kama unasoma vyuo hivi au umechaguliwa kudisco...ni kitu cha kawaida usipokuwa makini unaweza hata usimalize chuo.......

1. Sua

2.muhimbili

3. D.i.t

4. Kcmc na bugando

5. Udsm..

6.mzumbe

7.i f m

8.muccobs

9.t.i.a

10.mist......

Kwa mliopitia hapa hebu tokea ushuhuda....na pia unaweza ongeza vyuo vingine kutoa ushuhuda ile siku ya matokeo watu walio disco huwa wana comment nini kuhusu chuo....
 
Kama co msomaj lazma chuo ukione kgumu, mbna watu wanatoboa kama kawa vilaza ndo wanadsco.
 
Kweli JF imeingiliwa na Facebook, inabidi litengwe Jukwaa la hawa vijana ili wanapochoka au kuwa na stress wajichanganye humo, maana nimeingia kichwakichwa nikizania yanatuhusu na sisi wa 47 tuliopitia huko kumbe loooooooooo
 
Kaka hapo nakupa 5 inaelekea umefanya tafiti za kutosha, shule ya SUA ni noma sana, yaaani wao below 50 ngoma imekula kwako, naomba nideclare interest kuwa mm nilisoma hapo katika bachelor yangu ya mazingira, ila hakuna mtu atakayenishawishi nirudi pale kwa ajili ya msc level, jamaa ni wasumbufu sana na wakatili, hawana msamalia mtume.
 
Ujinga wa wafundishaji wa vyuo vikuu wafelishaji eti wanajifanya kozi zao ngumu mno ndo maana watu wanafeli waki imply kwamba wao wana akili sana!! Hata maTA ,madoctor cjui lectures product za vyuo hivyo wanakuwa na ujinga huo huo wa kutaka kunyanyasa watu hovyo wakijiona miungu watu. Elimu sio kuonesheana au kukomeshana ndo maana wasomi hatufanikiwi, kumbe vidigrii tunafundishwa na watu wanaotaka kuonesha umwamba
 
...unadanganya uma...kuna mdada mmoja alikuwa hawezi kusoma bila KUGEGEDWA kila wiki...kamilaza chuo na GPA ya 4.2...
.Ku-disco tatizo si wanafunzi...walimu ndo tatizo kampenda binti/men..akanyimwa darasa zima mnanyanyaswa...hawafundishi mnabai kusoma dondooo za miaka 3 - 5 iliyopita
 
Back
Top Bottom