Vyuo vinavyotoa Masters degree ambavyo havipo kwenye orodha ya TCU (Post-Graduate guide book)

Vyuo vinavyotoa Masters degree ambavyo havipo kwenye orodha ya TCU (Post-Graduate guide book)

Toka mwanzo hiyo ndio ulitaka iwe ajenda yako ila ukaogopa direct criticism hivyo kuja kwa njia ya kinyumenyume.

Hizo kozi zinatambulika na hivyo vyuo vimepewa ruksa, ithibati na ruksa Toka TCU.

Bado TCU wanaregulate na kukontroo hizo kozi hapo vyuo tajwa.
Hivyo usijaribu kupotosha[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hakuna kilichopotoshwa hapo. huwezi kusema kozi zinatambulika wakati kwenye kitabu chao hawajaziweka na wakati wao ndio regulator. Siku wakisema hazitambuliki utajitetea vipi? una ushaidi gani? kwa muongozo upi?. Ni kweli TCU wanacontrol ila hizo baadhi ya kozi kwenye vyuo vichache hawazitambui na ndio maana hawakuziweka kwenye kitabu chao. Mbona guidbook ya undergraduate ina vyuo na kozi zote lakini postgraduate ndio hakuna. kuna mahali pana changamoto.
 
Tofautisha taasisi ya elimu na vyuo vikuu. TCU ni regulator wa vyuo vikuu mfano Udsm, Udom. Hivyo vingi ulivyotaja ni taasisi za elimu mfano ifm, cbe. Nadhani kama sikosei katibu mkuu au mkurugenzi wa masuala ya elimu alitolea ufafanuzi jambo hili.

Pili hizo taasisi za elimu madhumuni yake ni kuwaendeleza wafanyakazi walioa katika sector inayoshughulika na taasisi hiyo mfano TRA inachuo Chao kinachohusika na mambo ya Kodi kwaajili ya kuwaendeleza watu wa mamlaka ya mapato
TCU ina-regulate kozi kuanzia undergraduate hadi post graduate yaani Kuanzia bachelor degree, masters mpaka PHD n.k lakini NACTVET ina-regulate kozi zilizochini ya degree Yaani diploma, certificates, short courses na kozi za ufundi, Ufafanuzi huo aliotoa katibu wa wizara elimu ulitofautisha majukumu ya TCU na NACTVET, Kuna taasisi na vyuo, vyote vinasimamiwa na TCU na NACTEVET isipokuwa kila mmoja anasimamia viwango vya kozi kwa ngazi husika yaani TCU ikienda kwenye collage au instistute au University itaangalia undergraduate course to post graduate na NACTVET ikienda Collage au institute au University itaangalia diploma, certificate, short course na kozi za ufundi kwa chuo husika. Naomba upate uelewa huo. Nilichoandika mimi ni kutotambulika kwa baadhi ya kozi za post graduate kwenye baadhi ya vyuo na sio utofauti wa taasisi na vyuo vikuu.
 
Sio kweli
Elimu ya kuanzia shahada ya kwanza(Bachelor degree), Uzamili(Masters) na Uzamivu( Doctorate) matokeo yao hutumwa TCU.
Wanafuata muongozo na time table itolewayo na TCU.
Wanafuata masomo kulingana na taratibu za TCU
TCU ndio wanaregulate na kukontroo hizo taasisi.

Ila kwa ngazi ya Stashahada( Diploma) na Certificate (Astashahada) ndio wako regulated na Nactevet zamani NACTE.

Kumbuka Kuna tofauti ya University na Institute ambazo ni academic.
Ila Institute huwa onabase na jambo moja na Hilo jambo huwa competent kweli kweli
Mf TIA
IFM
IAA
MIST
DIT
NIT
DMI

Kumbuka chuo Bora Cha Teknolojia duniani ni Massachusetts Institute of Technology (MIT)
Kweli kabisa. Hata mimi naelewa hivyo
 
Lazima uelewe unaposema wana regulate na ku control kwenye hizi taasisi kwenye nini? Sio general kama wewe ulivyoiweka. Pili hoja yako ilikuwa kutotambulika kwa baadhi ya kozi za postgraduate katika taasisi za elimu na TCU Sasa MIT kuwa chuo Bora what is the relation?

Pili hoja yako ilikuwa kwamba kozi hizo haziko kwenye guide book ya TCU je umewaandikia TCU email na kuwa wauliza au kwenda physical kwenye ofisi zao na kupata jibu?
Sijawahi kwenda ila nilipiga simu zao lakini hazikupokelewa. sikuwahi kutuma email. Naamini kupitia JF taarifa zitawafikia
 
Lazima uelewe unaposema wana regulate na ku control kwenye hizi taasisi kwenye nini? Sio general kama wewe ulivyoiweka. Pili hoja yako ilikuwa kutotambulika kwa baadhi ya kozi za postgraduate katika taasisi za elimu na TCU Sasa MIT kuwa chuo Bora what is the relation?

Pili hoja yako ilikuwa kwamba kozi hizo haziko kwenye guide book ya TCU je umewaandikia TCU email na kuwa wauliza au kwenda physical kwenye ofisi zao na kupata jibu?
Sijawahi kwenda ila nilipiga simu zao lakini hazikupokelewa. sikuwahi kutuma email. Naamini kupitia JF taarifa zitawafikia
 
Hakuna kilichopotoshwa hapo. huwezi kusema kozi zinatambulika wakati kwenye kitabu chao hawajaziweka na wakati wao ndio regulator. Siku wakisema hazitambuliki utajitetea vipi? una ushaidi gani? kwa muongozo upi?. Ni kweli TCU wanacontrol ila hizo baadhi ya kozi kwenye vyuo vichache hawazitambui na ndio maana hawakuziweka kwenye kitabu chao. Mbona guidbook ya undergraduate ina vyuo na kozi zote lakini postgraduate ndio hakuna. kuna mahali pana changamoto.

Hebu weka postgraduate guideline ya tcu tuone kama hivi vyuo havipo
 
Back
Top Bottom