zethumb
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 610
- 137
Wasalaam wana JF! ni muda sasa Wizara ya Afya ilitangaza course za afya ikiwa ni diploma na certificate, je kuna chochote kimejiri kuhusu applications zilizotumwa kwenye kanda mbali mbali? naomba kufahamishwa hizo applications zimeishia wapi na kama walisha achia majina ya waliofanikiwa!
Nawasilisha.
Nawasilisha.