Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Mleta mada hana kosa,jamii zinatutegemea kupata taarifa mbalimbali,si vibaya kurudi huku JF kwenye kisima cha maarifa kupata taarifa na miongozo mbalimbali.
Wengine huwa hatuulizi ila kupitia wanaouliza na wanaotoa majibu tunapata njia sahihi kuwasaidia wenye uhitaji.
SHOMBE wa kisomali kuwa makini x3
Wengine huwa hatuulizi ila kupitia wanaouliza na wanaotoa majibu tunapata njia sahihi kuwasaidia wenye uhitaji.
SHOMBE wa kisomali kuwa makini x3