Vyuo vya kilimo ni lini?

Asu tz

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
336
Reaction score
86
Habr wana JF. Jaman kama kuna anayefahamu kuhusu post za vyuo vya kilimo 2juzane kwan mpaka sasa cjui zinatoka lini or zimekwisha toka. Mwenye ufahamu na hili naomba msaada wake na pia kama kuna anayefahamu vyuo vya kilimo vilipo 2juzane.
 
utanipa feedback kama wizara imeshatoa Nafasi za masomo.!
Au utani email kwenye
fredysayayi@gmail.com

Usijal j3 nitakuja na mzigo kamil
Kama vp nikisahau nikumbushe kwny hii.
asu.tz89@gmail.com
 
Maombi bado hayajatoka ila wamesema watatangaza kwny website zao mwanzon mwa mwez wa 4.
Sifa ni zile zile kwa 'O'LEVER uwe umefaulu masomo ya sayans na uwe na 4 ya point 28.
Kwa 'A' LEVER uwe umefaulu masomo ya PCB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…