Habr wana JF. Jaman kama kuna anayefahamu kuhusu post za vyuo vya kilimo 2juzane kwan mpaka sasa cjui zinatoka lini or zimekwisha toka. Mwenye ufahamu na hili naomba msaada wake na pia kama kuna anayefahamu vyuo vya kilimo vilipo 2juzane.
Maombi bado hayajatoka ila wamesema watatangaza kwny website zao mwanzon mwa mwez wa 4.
Sifa ni zile zile kwa 'O'LEVER uwe umefaulu masomo ya sayans na uwe na 4 ya point 28.
Kwa 'A' LEVER uwe umefaulu masomo ya PCB.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.