kalamu ya chuma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 214
- 62
Jameni wana JF, naombeni mnisaidie kujua vyuo vya kilimo vya serikali kwa mtu wa Form Four na process za kujiunga ni lini wanapokea maombi na application forms zinapatikanaje!
Please Assist guyz.
Please Assist guyz.