Vyuo vya Kisabato na degree ya sheria

sheriaa kwa wasabato ni amri kumi za Mungu zinapatikana kutoka 20:1-17
Ukizifuata hizo yaani haina haja na hayo masheria ya kibinadamu
Hizo amri kumi zinaaply hata mahakamani?

Au hampati kesi nyie?
 
Duuuuh.... Ina maana kuwa mwanasheria kwa msabato ni dhambi? Napata tabu kujua wanaendeshaje taasisi zao bila wanasheria.
 
Duuuuh.... Ina maana kuwa mwanasheria kwa msabato ni dhambi? Napata tabu kujua wanaendeshaje taasisi zao bila wanasheria.
Mi najuiliza sana hii pia!
 
Mkuu vyuo vya kisabato vya Tanzania!



Ok mkuu...

Lkn hebu tuangalie haya malengo km yanafaa mbele ya Bwana....! Yesu alipokua hapa duniani ktk huduma zake alikua akifundisha kuokoa roho na kuponya mwili... Haya yote yalikua yakienda pamoja...!

Sasa km malengo ya vyuo vya kisabato ni kumpatia mtu maarifa ambao ndio mwili na kuponya roho ambapo atajifunza neno la Mungu, kuna ubaya gani mkuu? Na tujiulize sheria km sheria ina nafasi gani ktk ulimwengu wa kiroho wakati katiba au sheria kuu neno la Mungu tunalo tayari?

Haya ni maoni yangu na Mimi nafatilia kujua kwanini hawatoi sheria ktk vyuo.
 
Habari gani mtu ameua ila unalazimisha mazingira ya kumfanya asionekane ameua?
Yes kazi za sheria inahusisha hila ndani yak
e. Paradox ni pale kanisa langu linapotumia sadaka za maadvocate km mkono ambazo zimepitia kwenye mkondo wa kitu wasichokikubali... Sasa hapa ndio patamu. All in all mimi binafsi sikusoma sheria kwasababu hii
 
Duuuuh.... Ina maana kuwa mwanasheria kwa msabato ni dhambi? Napata tabu kujua wanaendeshaje taasisi zao bila wanasheria.


Hapana si dhambi mkuu...! Tuna waumini wenzetu Wengi tu wasomi wa sheria...! Na pia taasisi zetu zina wanasheria Wengi tu... Ingawa vyuo vyetu havifundishi sheria...!
 
Hapana si dhambi mkuu...! Tuna waumini wenzetu Wengi tu wasomi wa sheria...! Na pia taasisi zetu zina wanasheria Wengi tu... Ingawa vyuo vyetu havifundishi sheria...!

Mkuu ninashauri ukawasiliane kwanza na kanisa kuhusu WHY hatufundishi sheria ndipo uje utoe majibu. No offense.
 
Msingi wa vyuo vya kisabato hapa nchini ilikuwa ni kuandaa viongozi wa kiroho (wachungaji ) watakao kuwa na jukumu la kutoa Elimu ya kiroho kwa waumini na wasio waumini wa ki adventista. Hilo lilikuwa dhumuni kuu lakini kwa kuwa kama taasisi inayopanuka mahitaji yake pia yanaongezeka na uhitaji wa kuwa na wataalamu wa mambo mbalimbali unaongezeka kwa waumini na wasio waumini basi hivi vyuo vinaanzisha kozi nyengine ili kutoa elimu. Ni transition period sababu hata kozi ambazo zipo leo hazikuanza zote kwa pamoja. Wakati utafika ambapo taasisi itaona inafaa kwa kuzingatia taratibu na mahitaji ya utoaji wa kozi husika then ita ianzisha. Sioni uhusiano wa kukosa hiyo kozi na uhusiano wa kidini. Kwani hiyo sheria inatolewa kwenye vyuo vyote Tanzania. Na tukae tukijua kuna Taasisi ambazo zenyewe zina vipaumbele vyake kwa hiyo siwezi shangaa kukuta taasisi kubwa yenye kila Rasilimali lakini ikaamua kubobea sehemu moja.
 
kwan wana vyuo vingapi mpaka kufikia conclusion kwamba hawatoi degree ya sheria?
 
Hahaha ila sadaka za malawyer tunachukua si eti?? Mnduu Ulienda kanisani jmosi ilopita?

Haha..tunazitafuna vibaya..tena kanisa ninalosalia lilikuwa na kesi ya mipaka mahakamani, na walimtumia mwanasheria wa hapo chech Kusaidia mambo ya kisheria...ndio maana nimecheki kweli vyuo vyetu havifundishi sheria, kweli sikulijua hili. Duh! Mnduu nimetonga mtaso aisee!
 



Maoni mazuri Lkn jaribu kupitia vyuo vya nje vya kisabato uone km navyo havitoi sheria au lag....!
 
Mwenyewe nimeshangaa sana. Sababu za kutokuwa nazo ni zipi? Wasabato tuna kazi kweli..!

Mkuu LLB maana yake Latin legum Baccal...nimesahau hapo..

All laws of this world all are from CANON LAWS....

CANON LAWS is the mother of secular and Religious Laws..

Labda tungemuomba Dr. Slaa aje hapa atuambie atudadavulie....Sasa Wasabato hawasomi sheria kwa kuwa automaticclay watakuwa wana study sheria za kanisa Katoliki kwa asilimia kubwa.....

Kanisa katoliki huwa pia linajulikana kaka LATIN CHURCH..Tafuta kirefu cha LLB....

Wasabato huwa wananiacha hoi..
 

Untasie sitongie toka mwaka uanze.
 
Mkuu Ntuzu huo ndo ukweli na misingi ya kanisa lenu...

Rejea maana ya LLB ndo utajua ni naongea maana yake.....


Huwezi kuchangia hoja bila kutoa lugha chafu? Hilo ndio swala.....! Kua mstaarabu siku moja moja..!
 
Last edited by a moderator:
We jamaa sijui una akili gani weye?!!!!!!!
Sometimes you better keep your fingers and not bother. Try to imagine suala la Taasisi ya kidini kukosa kozi mtu analianziashia hoja hivi huwezi tambua kuwa huyu mtu ana lake jambo ila ameshindwa kwenda straight na anaanzia mbali tu vyuo vingapi havifundishi sheria na sio sheria tu Engineering, medicine, mbona vyuo vya serikali havifundishi theology na watu hawaulizi. Itafika hatua tutaanza kuulizana hata mavazi sasa kwanini unavaa suti. Vitu vingine heri kunyamaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…