ismailsotah
Member
- Oct 26, 2014
- 12
- 2
Mmmmhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikusahau madam nilimtajia kwa uchache tu!in fact zipo nyingine nyingi zaidi ya hizoUmesahau Nyabihore na Nyanza!
Mbona vyuo vya kukatoliki vinalazimisha watu kufanya mitihani jmosi na wakikataa hufukuzwa? Hili mbona hawalihoji mbali na kwamba linakiuka haki za binadamu? Si bure ipo namna
sikusahau madam nilimtajia kwa uchache tu!in fact zipo nyingine nyingi zaidi ya hizo
Law and legal studies from Seventh Day Adventist colleges/University
[TABLE="width: 438"]
[TR]
[TD]Major
[/TD]
[TD]College/University Where Offered
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Criminal Justice
[/TD]
[TD]LSU , LLU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pre-Law
[/TD]
[TD]SAU , WAU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pre-Law Political Science
[/TD]
[TD]AU , LSU , OU , PUC , SW , UC , WWU , WAU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pre-Law Political Studies
[/TD]
[TD]
WAU
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Anyway, what is the use of law? We need to reach the world by the word of God not law and legal proceedings (one advocate we have is JESUS)
Msingi wa vyuo vya kisabato hapa nchini ilikuwa ni kuandaa viongozi wa kiroho (wachungaji ) watakao kuwa na jukumu la kutoa Elimu ya kiroho kwa waumini na wasio waumini wa ki adventista. Hilo lilikuwa dhumuni kuu lakini kwa kuwa kama taasisi inayopanuka mahitaji yake pia yanaongezeka na uhitaji wa kuwa na wataalamu wa mambo mbalimbali unaongezeka kwa waumini na wasio waumini basi hivi vyuo vinaanzisha kozi nyengine ili kutoa elimu. Ni transition period sababu hata kozi ambazo zipo leo hazikuanza zote kwa pamoja. Wakati utafika ambapo taasisi itaona inafaa kwa kuzingatia taratibu na mahitaji ya utoaji wa kozi husika then ita ianzisha. Sioni uhusiano wa kukosa hiyo kozi na uhusiano wa kidini. Kwani hiyo sheria inatolewa kwenye vyuo vyote Tanzania. Na tukae tukijua kuna Taasisi ambazo zenyewe zina vipaumbele vyake kwa hiyo siwezi shangaa kukuta taasisi kubwa yenye kila Rasilimali lakini ikaamua kubobea sehemu moja.
"......law is evry where & it covers all spheres of ones living.....????
It was thought perhaps law may serve as a mirror and whip to human being. By the law you know if you sinned! Yes is like having a mirror: you can identify spot on your face but that does not remove the spot, likewise law can not stop sin. The law and its requirement failed, that is why God himself found a new way to deal with sin. Read scriptures:
- Rom. 3:28-30, "For we maintain that a man is justified by faith apart from works of the Law. [SUP]29[/SUP]Or is God the God of Jews only? Is He not the God of Gentiles also? Yes, of Gentiles also,[SUP] 30[/SUP]since indeed God who will justify the circumcised by faith and the uncircumcised through faith is one."
- Rom. 4:5, "But to the one who does not work, but believes in Himwho justifies the ungodly, his faith is reckoned as righteousness,"
- Rom. 5:1, "therefore having been justified by faith, we have peace with God through our Lord Jesus Christ;"
- Rom. 9:30, "What shall we say then? That Gentiles, who did not pursue righteousness, attained righteousness, even the righteousness which is by faith;"
- Rom. 10:4, "For Christ is the end of the law for righteousness to everyone who believes."
- Rom. 11:6, "But if it is by grace, it is no longer on the basis of works, otherwise grace is no longer grace."
- Gal. 2:16, "nevertheless knowing that a man is not justified by the works of the Law but through faith in Christ Jesus, even we have believed in Christ Jesus, that we may be justified by faith in Christ, and not by the works of the Law; since by the works of the Law shall no flesh be justified."
- Gal. 2:21, I do not nullify the grace of God; for if righteousness comes through the Law, then Christ died needlessly.
- Gal. 3:5-6, "Does He then, who provides you with the Spirit and works miracles among you, do it by the works of the Law, or by hearing with faith? [SUP]6[/SUP]Even so Abraham believed God, and it was reckoned to him as righteousness."
- Gal. 3:24, "Therefore the Law has become our tutor to lead us to Christ, that we may be justified by faith."
- Eph. 2:8-9, "For by grace you have been saved through faith; and that not of yourselves, it is the gift of God. [SUP]9[/SUP]Not by works, lest any man should boast."
- Phil. 3:9, "and may be found in Him, not having a righteousness of my own derived from the Law, but that which is through faith in Christ, the righteousness which comes from God on the basis of faith."
Haha..tunazitafuna vibaya..tena kanisa ninalosalia lilikuwa na kesi ya mipaka mahakamani, na walimtumia mwanasheria wa hapo chech Kusaidia mambo ya kisheria...ndio maana nimecheki kweli vyuo vyetu havifundishi sheria, kweli sikulijua hili. Duh! Mnduu nimetonga mtaso aisee!
Inawezekana hukusoma post za mwanzo,suala la kutokuwepo na somo hili kwenye vyuo vyenu limehusishwa na imani,sasa kama ni hivyo inakuwaje leo somo hili lipo?
Unapofanya jambo ambalo wakati wa nyuma ulikuwa unadhani ni kosa,sio kujua kuwa ulikuwa umekosea?
Sasa sio chaka hilo?
Hapana,sio lazima lakini inapotokea kuwa vyo vyote vya watu fulani hawafundishi somo fulani au kozi fulani huoni hilo ni tatizo?
Swali lako linakuwa na msingi kwasababu mlikuwa hamfundishwi sheria na jambo hilo linasababu za kiimani,kwahiyo sasa unapopata kesi na kuja kusimamiwa na mtu ambae wewe unamuona anafanya dhambi ni sawa?
Hapana wewe inaonekana hujiamini,ni kwanini unadhani hivi wakati sababu iko wazi?
Ni kweli jibu limekuja kuwa watafundisha sheria,lakini kama watu tunaotumia akili zetu vizuri jibu hilo limezua jibu lingine baada ya kuonekana mmeanza kufundisha karibuni tu,kwanini?
Nini kiliwafanya huko mwanzoni msifundishe?
Kama una jibu si ujibu halafu uone kama kuna jambo ambalo limejificha kama unavyodai wewe?
Hebu jibu basi!
"......law is evry where & it covers all spheres of ones living.....????
It was thought perhaps law may serve as a mirror and whip to human being. By the law you know if you sinned! Yes is like having a mirror: you can identify spot on your face but that does not remove the spot, likewise law can not stop sin. The law and its requirement failed, that is why God himself found a new way to deal with sin. Read scriptures:
- Rom. 3:28-30, "For we maintain that a man is justified by faith apart from works of the Law. [SUP]29[/SUP]Or is God the God of Jews only? Is He not the God of Gentiles also? Yes, of Gentiles also,[SUP] 30[/SUP]since indeed God who will justify the circumcised by faith and the uncircumcised through faith is one."
- Rom. 4:5, "But to the one who does not work, but believes in Himwho justifies the ungodly, his faith is reckoned as righteousness,"
- Rom. 5:1, "therefore having been justified by faith, we have peace with God through our Lord Jesus Christ;"
- Rom. 9:30, "What shall we say then? That Gentiles, who did not pursue righteousness, attained righteousness, even the righteousness which is by faith;"
- Rom. 10:4, "For Christ is the end of the law for righteousness to everyone who believes."
- Rom. 11:6, "But if it is by grace, it is no longer on the basis of works, otherwise grace is no longer grace."
- Gal. 2:16, "nevertheless knowing that a man is not justified by the works of the Law but through faith in Christ Jesus, even we have believed in Christ Jesus, that we may be justified by faith in Christ, and not by the works of the Law; since by the works of the Law shall no flesh be justified."
- Gal. 2:21, I do not nullify the grace of God; for if righteousness comes through the Law, then Christ died needlessly.
- Gal. 3:5-6, "Does He then, who provides you with the Spirit and works miracles among you, do it by the works of the Law, or by hearing with faith? [SUP]6[/SUP]Even so Abraham believed God, and it was reckoned to him as righteousness."
- Gal. 3:24, "Therefore the Law has become our tutor to lead us to Christ, that we may be justified by faith."
- Eph. 2:8-9, "For by grace you have been saved through faith; and that not of yourselves, it is the gift of God. [SUP]9[/SUP]Not by works, lest any man should boast."
- Phil. 3:9, "and may be found in Him, not having a righteousness of my own derived from the Law, but that which is through faith in Christ, the righteousness which comes from God on the basis of faith."
"good approach!, but I don't see the point yet.....better you start answering ma' questions!!!
Wasabato wana chuo gani hapa TZ?
shule za sekondari zenyewe hazifiki hata 10, najua shule ya Parane na Suji tu, ila kama nimesikia wana chuo kingine huko Tabata kinahusiana na issue za aviation?
Ikizu, Iluhya
Asante shekidudu
hahaha, mkono uliteleza, kanisa langu linaendelea vyema kabisa, na kwakweli Mungu nazidi kulibariki na sasa tuna mpango wa kununua Jet kubwa yenye uwezo wa kubeba abiri 300 ili baadhi ya waumini waweze kuletwa toka mikoani.Haya majina unayobatiza wenzio hio kazi kakupa nani? I don't think Shekizongoro ndio shekidudu, tangu ufungue Kanisa lako basi shida tupu, unitafute baadae kama upo mjini.