Vyuo vya private na migpa mikubwa kwa nini?


mkuu mimi nakusalimu tu -- -- --- -- -- dont say goodbye! -- ok?

mtoto-akikosea-lazima-aonywe!

waambie-na-wenzio!
 

Leo ni siku ambayo hutaisahau....

Shwain kabisa...
 
private wapo kibiashara zaid ndomaana GPA zao ni kubwa,mim binafs kuna washkaj zang kibao walisomaga private wakiwa na div3 zao za 16 lkn wamemaliza na GPA ya4.2.....duh ni hatari kabsa,ndoomaana mim huwa naona ni bora mwnye gentleman GPA (2) ya govt kulko mwny 4-5 GPA private
 

Hata mwenzako mpigamsuli alianza hivi hivi....
 
Last edited by a moderator:
Lakini vyuo vya private wanagawa G.P.A kama njugu ilhali wengi ni vilaza
Tehe tehee teheeeeeee! Sijui hata nielezeje: nimemaliza kidato cha sita Kibaha Secondary, na nikapata division 1.6. Nimemaliza degree yangu SAUT. Baadhi ya jamaa zangu wa PCB walipata division 1.5 na kwenda kusoma Bugando na wengine KCMC. Kwa kweli, ni heri kukaa kimya kama mtu hana la msingi la kuzungumza.
 


Hivi hujakoma tuu?

should we take further action?
 

usiku mwema profesa..

dont ever forget 22.3.2014
 
Mpiga msuli amejuta kuijua JF!

PANDE ZA MUCCOBS YUPO UCHI KABISA!
 
usiku mwema profesa..

dont ever forget 22.3.2014

brother..
what is up? i saw that thread mchana ule, nilijaribu kupitia pitia baadhi ya page, sikuelewa vyema.
huyu kijana ni kwanini kaandamwa kwa kiasi kikubwa hivyo?
nimeona mleta uzi ule kasema kijana amezaliwa 1988 means ana miaka 26 tu mpaka sasa.
bad enough katika tathmini yangu ya haraka haraka, nimegungua kulingana na umri wake hakupaswa kumaliza kidato cha nne 2009. (

kihalali angetakiwa amalize 2006. possibly kijana kasharudia darasa zaidi ya mara 3.
(yuko nyuma miaka 3).
au inawezekana alianza darasa la kwanza akiwa na miaka 10. badala ya 7 kikawaida.

huo ujiniuz wake uko wapi?
nadhani hii iwe fundisho hata kwa member wengine
wenye tabia za kujikweza na kudharau wengine.
 

Mchana ilikua tifu balaa ila ndo hivyo wana jf wawe na nidhamu maana heshima imepungua sana.
 

.....!!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…