Dawa ilikuwa ni kuwanyima kabisa yaani unashangaa vyuo vya kanisa vinatoza ada kama vile ugomvi yet ikifika kwenye ujenzi wa lecture halls makanisani ni michango kwa kwenda mbele daah ni hatari lakini salam hawa jamaa wanapenda pesa kuliko YUDA ISKARIOTE
Ni sawa na kujitekenya afu ukacheka mwenyewe. Hapo hawajapata suluhu. Unavyoshabikia ujue hivyo vyenye ada ndogo havitoshi kubaba idadi ya wanafunzi wote. Maana yake ni nini? Kwamba mara mia 1000 wakose nafasi za chuo sababu ada ni kubwa afu tuwakomeshe vyuo kwa kuwapa 120 si pumba hivi? Ukitaka kujua elimu ni ghari jaribu ujinga ndo unachokishabikia wewe.
Dawa ilikuwa ni kuwanyima kabisa yaani unashangaa vyuo vya kanisa vinatoza ada kama vile ugomvi yet ikifika kwenye ujenzi wa lecture halls makanisani ni michango kwa kwenda mbele daah ni hatari lakini salam hawa jamaa wanapenda pesa kuliko YUDA ISKARIOTE
Ok jamani..swali hapa...pendekezo lenu kwa bachelors kwa mwaka ada iwe shillingi ngapi? Maana nimejaribu kupiga hesabu ya 2.2Mil kwa mwaka for bachelor degree kwa chuo kinachopokea wanafunzi elfu moja...hii hela sioni ikitosheleza kabisaa..ukitilia maanani masomo kama ya udaktari, engineering (Kilimo included), hata HR..labda naomba wana JF wanipe Mwanga zaidi ya pendekezo ya ada iliyo nafuu.
hakuna cha resources wala nini ada ni kibwa jmni tumaini dar es salaam ada yao ni 2.2m tuition fee only imagine.... bado chuo hakina hostel serikali iangalie vizuri bora mwakani wasipewe kabisa hadi wakubali kupunguza ada....wanatutesa sana hawa majamaa. halafu ety ndo chuo cha kkkt badala ya kusaidia watu kinawakandamiza. hata Mungu hapendi...halafu cha kushangaza course zote ada yao ni moja..mtu anaesoma education atalipaje ada sawa na anaesoma law na mass comm na course nyingine??? tumaini dar kimezidi.