Serikali kupitia TCU iliagiza vyuo vikuu vyenye ada kubwa hasa inayokaribia million mbili kupunguza angalau kukaribiana na vyuo vya serikali ili kupunguza mzigo kwa watanzania.
sasa vyuo vilivyogoma vimepewa wanafunzi wachache hadi huruma, yaani chuo kimoja kishiriki cha Tumaini Makumira wamepewa wanafunzi kama 120 kwa kozi zipatazo 6 kutoka kwenye idadi inayo karibia 1000 mwaka uliopita, binafsi nawapongeza TCU kwa hilo, kwanini utoze ada zaid ya mara mbili ya ada inayolipwa na vyuo vya umma?
Kwa hili TCU nawapongeza kwani maisha ni magumu na wanaotaka mkopo ni wengi.
Asante
sasa vyuo vilivyogoma vimepewa wanafunzi wachache hadi huruma, yaani chuo kimoja kishiriki cha Tumaini Makumira wamepewa wanafunzi kama 120 kwa kozi zipatazo 6 kutoka kwenye idadi inayo karibia 1000 mwaka uliopita, binafsi nawapongeza TCU kwa hilo, kwanini utoze ada zaid ya mara mbili ya ada inayolipwa na vyuo vya umma?
Kwa hili TCU nawapongeza kwani maisha ni magumu na wanaotaka mkopo ni wengi.
Asante