tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Wanajamvi kuna tetesi kuwa vyuo vya ualimu vitakuwa vinaendeshwa na NACTE.Kama kuna yeyote mwenye kujua taarifa kamili naomba azimwage ili tujue nini kinajiri. Pia ningeshauri kuwa vyuo vya ualimu vinavyotoa diploma ya ualimu vijikite kutoa mafunzo ya kiufundi (kama VETA).Hii ni kwa sababu vyuo vikuu vinavyotoa shahada ya ualimu ni vingi nchini.
Ni vyuo 6 tu katika vyuo vyote vya ualimu vya serikali.Wanajamvi kuna tetesi kuwa vyuo vya ualimu vitakuwa vinaendeshwa na NACTE.Kama kuna yeyote mwenye kujua taarifa kamili naomba azimwage ili tujue nini kinajiri. Pia ningeshauri kuwa vyuo vya ualimu vinavyotoa diploma ya ualimu vijikite kutoa mafunzo ya kiufundi (kama VETA).Hii ni kwa sababu vyuo vikuu vinavyotoa shahada ya ualimu ni vingi nchini.
Lengo ni nini?
wakifanya hivyo itakua vyema sana maana vilikua kama shule za secondari tu mfano mitihani inatungwa necta,
mchome hataki kusikia kabisa hiv vyuo na ukaguz wa shule hta wakurungezi wote walioko wizara ya elimu wanahamia tamisemi,pia mtihani wa form two utakua chini ya tamisemi,wizara inataka kubaki na vyuo vikuu tu,
Kuna tangazo pia katika jengo la wizara ya elimu kuwa watumishi watakaobaki kwenye jengo hilo ni 70 tu kati ya 400. Kwa hali hiyo hali siyo shwari wizara ya elimu - makao makuu.