tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Wanajamvi kuna tetesi kuwa vyuo vya ualimu vitakuwa vinaendeshwa na NACTE.Kama kuna yeyote mwenye kujua taarifa kamili naomba azimwage ili tujue nini kinajiri. Pia ningeshauri kuwa vyuo vya ualimu vinavyotoa diploma ya ualimu vijikite kutoa mafunzo ya kiufundi (kama VETA).Hii ni kwa sababu vyuo vikuu vinavyotoa shahada ya ualimu ni vingi nchini.