vyuo vya ufundi

vyuo vya ufundi

thereitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
297
Reaction score
41
Heshima mbele wakuu.

Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha nne; ufaulu wake ni Divisheni 4 point 30. naomba mnisaidie chuo cha ufundi ninachoweza kumpeleka ili apate mafunzo yatakayo msaidia kujiajiri. Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu na wadau wengine wa elimu ya ufundi.

Nawasilisha.
 
Heshima mbele wakuu.

Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha nne; ufaulu wake ni Divisheni 4 point 30. naomba mnisaidie chuo cha ufundi ninachoweza kumpeleka ili apate mafunzo yatakayo msaidia kujiajiri. Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu na wadau wengine wa elimu ya ufundi.

Nawasilisha.


:llama::A S crown-1:
 
Back
Top Bottom