MAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO 2013/14Natafuta chuo kinacho toa course za afya kama clinical officer,health officer,dental therapy,health record keepings,medical officer,both of either certificate and its diploma 0712499805
wakuu hz form za wizara hapa moro zinapatikana wap?
ni division four isiyopungua point 30 na ni vizuri ukawa na atleast triple D.
yeah.....twende PMNgoja 2wasubiri wanaofahamu lkn sengerema inatoa kozi zipi na kwa ngazi gani?
hispotal ya mkoa unazipata pale mie nimechukua tayar na nilishatuma km unahitaji ni PM nikuelekeze uje kuchukua mazimbu
ajaribu bt asitegemee sana hapo napafahamu nafasi zao huwa ni chache sana...
Pole sn kwa hangaika siku zote hizo Kifungu cha 4. (i)Fomu za maombi zitapatikana kwa wakuu wa kanda za mafunzo zilizoainishwa hapo chini (rejea kipengele Na. viii) chini, Waganga Wakuu wa wilaya na wakuu wa vyuo vya afya vilivyo chini ya Wizara., ukisoma kipengere cha viii (i) imeaanisha form kwa kwa watu wa dar es salaam ni Mkurugenzi wa Taasisi za Sayansi Shiriki za Afya Muhimbili, S.L.P 65005, Dar-es-salaamEbwana huu ni utata,nina siku ya 9 leo nazifuatilia form za kujiunga na hivyo vyuo cha kushangaza msaidizi wa DMO(katibu)-Temeke municipal council anadai yeye hajapatiwa hizo form hadi mdaa huu,xo kwa hapa Dsm wap pengine ambako naweza pata form hizo,msaada tafadhali!!