Wadau mimi naumizwa sana na wizara ya elimu kushindwa kuvisimamia vyuo vyake vya ualimu kwa maana hii vyuo vingi vipo nje ya miji lakini unakuta chuo hakina mazingira mazuri ya kujisomea.
Kwa mfano chuo cha ualimu dakawa hakuna mnara hata wa simu kupiga simu kule ni tatizo majengo nikiimaanisha madarasa hakuna kuna mabaki ya stoo zilizojengwa kwa mabati magumu enzi izo za wakimbizi wa afrika ya kusini ndio yanatumika km madarasa wanafunzi wakati wa joto wanapata shida kwa joto kali hasa wakati wa mchana.
Hakuna internet kama nilivyoeleza awali location ya hivi vyuo sasa mwanachuo anakosa hata kusoma gazeti ili ajue nini kinaendelea huko duniani internet ingewasaidia kupata si taarifa tu hata material ya kujifunzia maana hakuna hata maktaba mana iliyopo hakuna vitabu vya kutosha ni sawa na hakuna tu.
Halafu tunasema BRN hivi hii nchi ina tatizo gani mwalimu huyu ndio tunataka akawafundishe watoto wetu mambo ya TEHAMA wakati yeye mwenyewe hiyo TEHAMA hajui ni kitu gani huu ni upuuzi na ujinga.
Kwa mawazo yangu kwa hali hii hatutakuja kupata maendeleo kamwe kwenye hii nchi wizara inaleta mchezo kwenye mambo ya maana, sasa wanakuja na swala la kkk ooo watoto huko shule za msingi wanamaliza hawajui kusoma wala kuandika umebuniwa mradi wa kupeleka watu wakapewe semina mm naona ni kutaka kupiga Hera za walipa kodi wa nchi hii bure.
Hivi kweli tatizo ni walimu kukosa ujuzi wa kufundisha au ni walimu wamekosa motisha mishahara midogo madaraja hawaoandishwi kero kibao alafu unategemea uyo mwalimu apoteze muda mtoto wa mtu wkt hajui kwake watakula nini. Viongozi wetu hawana nia ya dhati ya kuwakomboa wananchi wanachofanya ni ubabaishaji tu.
Kwa mfano chuo cha ualimu dakawa hakuna mnara hata wa simu kupiga simu kule ni tatizo majengo nikiimaanisha madarasa hakuna kuna mabaki ya stoo zilizojengwa kwa mabati magumu enzi izo za wakimbizi wa afrika ya kusini ndio yanatumika km madarasa wanafunzi wakati wa joto wanapata shida kwa joto kali hasa wakati wa mchana.
Hakuna internet kama nilivyoeleza awali location ya hivi vyuo sasa mwanachuo anakosa hata kusoma gazeti ili ajue nini kinaendelea huko duniani internet ingewasaidia kupata si taarifa tu hata material ya kujifunzia maana hakuna hata maktaba mana iliyopo hakuna vitabu vya kutosha ni sawa na hakuna tu.
Halafu tunasema BRN hivi hii nchi ina tatizo gani mwalimu huyu ndio tunataka akawafundishe watoto wetu mambo ya TEHAMA wakati yeye mwenyewe hiyo TEHAMA hajui ni kitu gani huu ni upuuzi na ujinga.
Kwa mawazo yangu kwa hali hii hatutakuja kupata maendeleo kamwe kwenye hii nchi wizara inaleta mchezo kwenye mambo ya maana, sasa wanakuja na swala la kkk ooo watoto huko shule za msingi wanamaliza hawajui kusoma wala kuandika umebuniwa mradi wa kupeleka watu wakapewe semina mm naona ni kutaka kupiga Hera za walipa kodi wa nchi hii bure.
Hivi kweli tatizo ni walimu kukosa ujuzi wa kufundisha au ni walimu wamekosa motisha mishahara midogo madaraja hawaoandishwi kero kibao alafu unategemea uyo mwalimu apoteze muda mtoto wa mtu wkt hajui kwake watakula nini. Viongozi wetu hawana nia ya dhati ya kuwakomboa wananchi wanachofanya ni ubabaishaji tu.