Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
kuna mdogo wangu kapokea sms leo jioni toka archbishop mihayo university college(amucta) ikimtaka aende kuripoti tarehe 16-9.
My take,
wataripoti bila kuwa na uhakika na boom.
kipo tabora mjini karibu na studentcenter , hostel wanachuo wengi wamepanga mitaani,wengine wasichana wamepanga kwenye guest house inaitwa camp edward
hata rafiki yangu pia katumiwa hii hapa...na alifanikiwa kucheki kwenye cm alikuta ni hiyohiyo..''Dear ........ ,
We are happy to inform you that you have been selected by TCU to join our university college (Archbishop Mihayo University College of Tabora-AMUCTA) for BAED. Please not that you are required to report for registration on 16-09-2013. You can access the Joining instructions and fee structure in our website Welcome to Archbishop Mihayo University College of Tabora | AMUCTA and in case of any problem do not hesitate to contact us through 0787578684''
duuuh bora niliyepata muce
kivipi?
Sio matapeli hata kwenye simu alikuwa amechaguliwa hapo tatizo langu ni mkopo maana sidhani kama majina yatakuwa yametolewa na loan board.
Mptie za kwako aanzie then atapata bumu, bila kuriporti watajuaje kama anastahili bumu? elimu gharama, aanze mengine yatafuata
duuh.hongern niny wete mlokwisha jua wea yo gng to be skulin sis wa diplom hatun A -Z yan manjang
duuh.hongern niny wete mlokwisha jua wea yo gng to be skulin sis wa diplom hatun A -Z yan manjang
Kuna mdogo wangu kapokea sms leo jioni toka Archbishop Mihayo university college(AMUCTA) ikimtaka aende kuripoti tarehe 16-9.
My take,
wataripoti bila kuwa na uhakika na boom.
duuuh bora niliyepata muce
Kumbuka wote mtakuwa walimu maana una nyodo sana wewe mchaga wa kibosho.
ww umejuaje kama m mchaga wa kbosho! C o nyodo m nataka nwe na chet cha udsm
halaf ukishakuwa nacho
c nakuwa nimesoma kwa weny akil wenzangu