Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
kuna mdogo wangu kapokea sms leo jioni toka archbishop mihayo university college(amucta) ikimtaka aende kuripoti tarehe 16-9.
My take,
wataripoti bila kuwa na uhakika na boom.
kipo tabora mjini karibu na studentcenter , hostel wanachuo wengi wamepanga mitaani,wengine wasichana wamepanga kwenye guest house inaitwa camp edward