Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni waislam hao au watu gani mbona sion msalaba kabulini afu naona mauaNdio mjue Russia ni watu wa aina gani! They don't care! Endeleeni kuwashobokea.
Kilio cha samaki.Azerbaijan haiwezi kufanya chochote
Azerbaijan haiwezi kufanya chochote
Ni waislam kwa asilimia kubwa, japo huwa Wana wabagua waislam wenye misimamo mikali hasa wanaotoka nchi kama Iran, Iraq nk Wana wapenda zaidi wamarekani.Ni waislam hao au watu gani mbona sion msalaba kabulini afu naona maua
Yes ni ya kiislamNi waislam hao au watu gani mbona sion msalaba kabulini afu naona maua
Ila uchumi wake mzuri Wana mafutaNi waislam kwa asilimia kubwa, japo huwa Wana wabagua waislam wenye misimamo mikali hasa wanaotoka nchi kama Iran, Iraq nk Wana wapenda zaidi wamarekani.
Ukisema unatoka marekani na ngozi yako nyeusi basi wewe ni utapata heshima kubwa kwa raia, kwa kuwa mengi ya marekani wanaishia kuyaona katika muvi na muziki
Sio wabaguzi kwa wenye Imani tofauti, ila wanaishi maisha ya kale Yale ambayo huku kwetu unaitwa mshamba wa kijijini. Jamii kubwa huko wanaishi hivyo
Mwanamke kuolewa na bikra ni heshima kubwa sana, kuchezea watoto wakike ni tatizo kubwa hasa kwa wageni
Aisee,Mwanamke kuolewa na bikra ni heshima kubwa sana,
Utawekewa msalaba kabulini kama ulivoliita kabuli lako ndugu jifunze uandishi hata sentence 2 halafu usikariri kua kila mazishi kama c muislamu uwekwe msalaba wenzetu hayo mambo yamepita hata mazishi ya weupe hiwez kuona watu wengi labda kiongoz wa serikali au diniKama unavoliita kabuli lako Ni waislam hao au watu gani mbona sion msalaba kabulini afu naona maua
Azerbaijan zaidi ya 60% ni muslims.Ni waislam hao au watu gani mbona sion msalaba kabulini afu naona maua
Nagorno-karabakh Russia kapoteza askari wengi dhidi ya Azerbaijan akiwa anaisaidia Armenia.Ndio mjue Russia ni watu wa aina gani! They don't care! Endeleeni kuwashobokea.
Sijakuelewa. Russia katungua ndege ya abiria ya Azerbaijan bado analeta dharau na jeuri!Nagorno-karabakh Russia kapoteza askari wengi dhidi ya Azerbaijan akiwa anaisaidia Armenia.
Ni nadharia tu huwenda pia ni kama Russia anajipooza machungu baada ya kupoteza askari wake wengi dhidi ya Azerbaijan.Sijakuelewa. Russia katungua ndege ya abiria ya Azerbaijan bado analeta dharau na jeuri!
Wewe ndiye unaleta dhana! Kupoteza askari wengi kisasi chake ni kuuwa abaria wasio na hatia? Uchizi huo sasa.Ni nadharia tu huwenda pia ni kama Russia anajipooza machungu baada ya kupoteza askari wake wengi dhidi ya Azerbaijan.
Putin ni hatari mno .Sijakuelewa. Russia katungua ndege ya abiria ya Azerbaijan bado analeta dharau na jeuri!