Wa dada jamani Hivi vitu vinatokea network ina simama!!

Wa dada jamani Hivi vitu vinatokea network ina simama!!

unazungumzia uchafu upi?mbona mavii ya tembo ni dawa ya degedege na pepopunda
 
hahahahahahahahahahahha sina mbavu eti material yote niliyosoma ime evaporate....
sante sana Kaka K.....
 
KK

Vijana wetu wengi sana wanateseka na mabinti dizaini hiyo.... na wengi wao huishia kunawa tu, kula hawali hadi shule inaisha

Ikisikia opportunist ndio huyo dada...

Tafakari, chukua hatua...........
 
aisee kainama vyema kabisa huyo mwali mlengwa-wima
 
hapa dawa ilikuwa kuhama kiti/meza otherwise siku imeharibika
 
hahahahaha sasa hii ni library ya UDSM, SUA, Tumaini, SAUT au Mzumbe hahahahaha au IFM na CBE? Loh elimu ya bongo vikwazo kila kona
 
Jamaa wa pembeni anasomea Mechanical Engineering, duuu!kweli nyanga ngumu!msalimu Dr. Elias na Mgwatu...tehe teh
 
Back
Top Bottom