Wa deme wa Tanzania!

Waschana wa Tz ni wa namna gani?


  • Total voters
    26
Status
Not open for further replies.
france kitu gani? anazani akisema katoka France ndio atapapatikiwa...watu wanatoka Mars na bado wanatongoza wanakataliwa....kaona akisema ni mwarabu ndio ishu....aende kwao huko Mombasa ndio atapata......pum*#%fu zake


Hivi ndo maana eeh?:A S 39:
 
Time wasters! Huyu lazima ni mkimbizi kama akina K**A
 

Shame on u.... u Arabs disgusts me....
 
Shame on u.... u Arabs disgusts me....
Take it easy, unajua hawa watu hata mimi wananikera sana maana wanajiona ni bora kuliko watu wengine, yaani ujinga tu umewajaa ila hata hivyo sio wote so please dont generalize hiyo itakuwa racism. NOt a good thing at all.
 
jamani tuache kupoteza muda na hii thread. Ni uzushi mtupu hakuna cha ufaransa wala mwarabu. The guy is not serious and he just want to waste our time. Tangu lini swala la kutafuta mwanamke likawa-handled hivyo. Kama huna cha kuongea kaa kimya usitupotezee muda na mada zisizokuwa na kichwa wala miguu, nadhani tumeelewana!!!
 
umempa ukweli kaka nimependa comment zako
 
halafu nilivyo ona wademe nikafikiri ni aina ya chakula kipya cha kiarafu kumbe watu wanajadili mademu😛ound:😛ound::A S tongue:
 
halafu nilivyo ona wademe nikafikiri ni aina ya chakula kipya cha kiarafu kumbe watu wanajadili mademu😛ound:😛ound::A S tongue:
ahahahaha umenivunja mbavu CKABULA nimecheka mpaka basi
 
angalia kiswahili chake tu halafu utapata jibu..angalia aina ya post yake tu utaona haina akili..inafanana na zile za mashada.com,...angalia akili ya mtu anayeandika...halafu anasema anatoka france, na ni mwarabu....jamani jamani...kwani mwarabu ana nini...france ina nini....acheni ukoloni....acheni uzinzi.....JF ni pahala pa watu wenye akili za kuleta mada za maana...si brabra za kimashadamashada hapa...
 
imagine ukienda kenya, mtu wa aina hii atakudispise na kukuambia mtz hauna akili, hauja soma..ni mbumbumbu..na akili ya namna hii..hahaha.
 
Take it easy, unajua hawa watu hata mimi wananikera sana maana wanajiona ni bora kuliko watu wengine, yaani ujinga tu umewajaa ila hata hivyo sio wote so please dont generalize hiyo itakuwa racism. NOt a good thing at all.
ahhh we niache tu bro i didnt mean to generalize but I am referring to the majority here... they shame me honestly... huyu (Minor Threat) bora asirudi tuu humu...
 
Jo wote ako wrong, kwa vile hakuna kitu kama 'TABIA YA WADEME ya TZ'. Iko hivi wewe tafuta deme halafu kama amekunokisha ndo utafute Watz wanaomfahamu uwaulize wakujuze tabia yake.
 
acha uzushi wewe mademe ndo nini, we mwenyewe mtu wa msumbiji halafu una dai mwarabu huna lolote
:mad2:
 
unauliza ndevu kwa osama???
unategemea tutajisema hapa ,sie wasichana wa Tz ni magold diggers??? mweh!:twitch::twitch:


Wewe unatoka S'wanga....! Na kama hatusemi ukweli hapa, how can get facts? Otherwise, we will remain making wrong decisions forever...! So, kwa mujibu wa maelezo yako, you are an evidence of dishonest...!
 
Mwambie huyo aelewe, kweli kabisa.
Aint goldiggers in Tz? u want a deme go get one the rest utajua huko huko, u hear me???
 
weewee acha ujinga na we si mwarabu ni una njaa nyingi ya ngono na ndo inakufanya udanganye watu kwamba we ni mwarabu kwanza nyie ndo mnawafira dada zetu kumbuka mwanamke alishalaaniwa kwamba mume atamtawala so nyie hasa wewe unayejiita mwarabu koko mnawafira chunga sana wewe bwana mdogo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…