MINOR THREAT
Member
- Jul 17, 2010
- 6
- 0
Mambo Vipi! hii ni post ya kwanza kutoKea mimi. anyway, natoka france lakini na ishi dar kuanzia januari. kufika hapa niliona wa deme wenyu ni warembo sana! nataka kupata deme nzuri kumuita mwangu. lakini marafiki wangu mawili wakona opinions tofauti. wa kwanza alisema wa shosti wa Tz, or at least most of them, wana penda hella na ni ma golddiggers. alisema kwa hivyo wata vutiwa kwa mimi sababu mi ni mwarabu! hule rafiki mwingine anasema wademe hapa ni wazuri na ni sincere sana, yaani ukiingia relationship na Wao, watakupa yoyote kwa relationship. sijui kuamini nani? sasa as a general question na muliza waTanzania, nani kwa marafiki wangu wako correct? tafadhali semehe kiswahili changu! nilikuwa hapa kwa miezi sita tu, bado najifunza!