Bwana Stuart Norval ambaye ni reporter wa france24 english version akitumia twitter handle yake ali-tweet ''BREAKING Gun shots fired in #Nairobi #Kenya as huge crowds fall over each other to vote. Dramatic pictures on @France24_en in 15 min''
Tweet hii ilimuingiza matatizoni kwani maelfu ya wakenya wali-tweet back na kumwambio huo ni 'urongo na uzushi' walimlaumu kwa kile wameitwa irresponsible journalism.
Iliwahi kutokea hivi kwa reporter wa CNN, kwa kutumia hashtag #SomeoneTellCNN maelfu ya wakenya walituma msg kukanusha uzushi uliokua umetumwa na reporter wao Nima Elbagir, CNN correspondent based in Nairobi covering the Middle East and Africa ambae alikuwa akitumia handle ya nimaCNN. Huyu reporter alilazimika kubadilisha handle yake ya twitter kutokana na thousands of tweets kutoka kwa wakenya waliokua wamechukizwa na 'ma-urongo' yake lakini kikubwa zaidi CNN walitoa official apology kwa Kenyans
Najaribu kufikiri kama tungekua tunafanya hivi, suppose tunakubaliana kum-tweet obama asikubali kumpokea vasco da gama ili hali nchini kwake mambo mengi ya msingi yanamuhitahi.......PAMOJA TWAWEZA!
Tweet hii ilimuingiza matatizoni kwani maelfu ya wakenya wali-tweet back na kumwambio huo ni 'urongo na uzushi' walimlaumu kwa kile wameitwa irresponsible journalism.
Iliwahi kutokea hivi kwa reporter wa CNN, kwa kutumia hashtag #SomeoneTellCNN maelfu ya wakenya walituma msg kukanusha uzushi uliokua umetumwa na reporter wao Nima Elbagir, CNN correspondent based in Nairobi covering the Middle East and Africa ambae alikuwa akitumia handle ya nimaCNN. Huyu reporter alilazimika kubadilisha handle yake ya twitter kutokana na thousands of tweets kutoka kwa wakenya waliokua wamechukizwa na 'ma-urongo' yake lakini kikubwa zaidi CNN walitoa official apology kwa Kenyans
Najaribu kufikiri kama tungekua tunafanya hivi, suppose tunakubaliana kum-tweet obama asikubali kumpokea vasco da gama ili hali nchini kwake mambo mengi ya msingi yanamuhitahi.......PAMOJA TWAWEZA!
Last edited by a moderator: