ukweli mchungu!!
Kwenye hizi timu za Kariakoo, hamna hata timu moja itaenda makundi ya CAF, labda kidogo shirikisho!
Labda tena kwa mbinde, naiona timu moja tu tena haipewi nafasi sana ya kufuzu makundi.
Kuna timu inaenda kuchukua aibu ya mwaka (ITAPIGWA KAMA NGOMA IKIWA UGENINI).
Mapovu nakaribisha tafadhari!
Kwenye hizi timu za Kariakoo, hamna hata timu moja itaenda makundi ya CAF, labda kidogo shirikisho!
Labda tena kwa mbinde, naiona timu moja tu tena haipewi nafasi sana ya kufuzu makundi.
Kuna timu inaenda kuchukua aibu ya mwaka (ITAPIGWA KAMA NGOMA IKIWA UGENINI).
Mapovu nakaribisha tafadhari!