Pre GE2025 Wa kuiondoa CCM madarakani ni wananchi na siyo CHADEMA

Pre GE2025 Wa kuiondoa CCM madarakani ni wananchi na siyo CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Wakuu salama,

Baada ya CHADEMA kupata mwenyekiti mpya watu wamekuwa na imani kuwa huenda chadema wataitoa madarakani CCM, lakini uhalisia ni kwamba kama wananchi hawatoungana kwa pamoja CCM haiwezi kubanduka pale ikulu.

Lissu mwenyewe amekiri licha ya kampeni ya 'No reforms no election' waliyoianzisha wao kama chama lakini bado wanahitaji nguvu kubwa ya wananchi ili hayo mabadiliko yatokee, amesisitiza kuwa iwapo wananchi hawatounga mkono harakati hizo basi hakuna namna tena na ataendelea kuwaacha waendelee kupitia wanachokipitia.

Siku wananchi wakiamua kwa pamoja hata vyombo vya dola vitasimama upande wao na hakika nguvu ya umma itakuwa imeshinda na kitakuwa kizazi cha dhahabu sana kilicholeta mabadiliko yaliyosubiriwa kwa muda mrefu. Hata malawi wananchi walipoamua kulinda kura zao na kupambana na chama kilichokuwa madarakani hata vyombo vya dola vilisimama na wananchi.

My take; Tusiichukulie kazi ya kuitoa CCM ni jambo la Chadema peke yao

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
K
Wakuu salama,

Baada ya CHADEMA kupata mwenyekiti mpya watu wamekuwa na imani kuwa huenda chadema wataitoa madarakani CCM, lakini uhalisia ni kwamba kama wananchi hawatoungana kwa pamoja CCM haiwezi kubanduka pale ikulu.

Lissu mwenyewe amekiri licha ya kampeni ya 'No reforms no election' waliyoianzisha wao kama chama lakini bado wanahitaji nguvu kubwa ya wananchi ili hayo mabadiliko yatokee, amesisitiza kuwa iwapo wananchi hawatounga mkono harakati hizo basi hakuna namna tena na ataendelea kuwaacha waendelee kupitia wanachokipitia.

Siku wananchi wakiamua kwa pamoja hata vyombo vya dola vitasimama upande wao na hakika nguvu ya umma itakuwa imeshinda na kitakuwa kizazi cha dhahabu sana kilicholeta mabadiliko yaliyosubiriwa kwa muda mrefu. Hata malawi wananchi walipoamua kulinda kura zao na kupambana na chama kilichokuwa madarakani hata vyombo vya dola vilisimama na wananchi.

My take; Tusiichukulie kazi ya kuitoa CCM ni jambo la Chadema peke yao
Kabisa na waka sio Lisu bali ni raia, sas mkuu wangu Wabongo wako kwenye keybord zao wanataka Lisu ndio ainondoe CCM wao aakiwa wamkee tuli.
 
Wakuu salama,

Baada ya CHADEMA kupata mwenyekiti mpya watu wamekuwa na imani kuwa huenda chadema wataitoa madarakani CCM, lakini uhalisia ni kwamba kama wananchi hawatoungana kwa pamoja CCM haiwezi kubanduka pale ikulu.

Lissu mwenyewe amekiri licha ya kampeni ya 'No reforms no election' waliyoianzisha wao kama chama lakini bado wanahitaji nguvu kubwa ya wananchi ili hayo mabadiliko yatokee, amesisitiza kuwa iwapo wananchi hawatounga mkono harakati hizo basi hakuna namna tena na ataendelea kuwaacha waendelee kupitia wanachokipitia.

Siku wananchi wakiamua kwa pamoja hata vyombo vya dola vitasimama upande wao na hakika nguvu ya umma itakuwa imeshinda na kitakuwa kizazi cha dhahabu sana kilicholeta mabadiliko yaliyosubiriwa kwa muda mrefu. Hata malawi wananchi walipoamua kulinda kura zao na kupambana na chama kilichokuwa madarakani hata vyombo vya dola vilisimama na wananchi.

My take; Tusiichukulie kazi ya kuitoa CCM ni jambo la Chadema peke yao

Kila mahali ukipita ni Tundu Lisu Tunakuhitaji .

Wazee nao ,Tundu Tunakuhitaji mjukuu wetu ,
Wababa ,Tundu Lisu mwanetu njoo utuondolee dhulma .
Wamama mwanangu Tundu Lisu tusaidie kwenye vifungu vya Katiba vije vizuri vitusadie hatuna bima ya Saratani wala Figo. Ndugu zetu wanatuachia umaskini wakiugua hayo magonjwa.

Vijana nao kwa mamilioni , Lisu njoo tusaidie hatuna ajira ,pesa zote wanazipeleka kuhonga wapiga kura na kuuza nchi bila uchungu wanauza ardhi sisi tutamiliki nini .

Watoto ,Lisu baba tunahitaji kuishi ,tunatekwa mpaka sisi kwa imani za kishirikina ili watu wapate uongozi wanadanganywa na matapeli wapeleke viungo vya watoto na damu ya watoto .

Albino ,Njoo Tundu Lisu tunauawa wakati kuna majeshi mengi mpaka migambo vijijini ,wahusika ni watu wazito ndani ya CCM hivyo hawagusiki . Lisu ni chaguo la Mungu mkuu mwenye kutoa uzima na kumpa amtakaye kwa wakati wake .


Watanzania wote tuungane na kumuunga mkono Lisu . Kama hakuna katiba mpya basi CCM wasijaribu kabisa kufanya maigizo ya uchaguzi . Bora pesa hizo wapewe polisi na wanajeshi wajengewe nyumba na kuongezea posho za kuwawezesha na wao wasomeshe vizuri watoto wao kama wabunge . Pesa nyingine waongezewe kwenye SACOS zao ili wapunguziwe Riba nchi iwe na amani ya kutosha tunapoelekea kwenye Kupata katiba mpya na sio uchaguzi wa kipumbavu unaoleta mauaji ,utekaji na vilio na huzuni na hasira kwa wananchi ambao ni ndugu na watanzania .

Lisu wapeleke mchakamchaka hao mawakala wa mabeberu
 
Kila mahali ukipita ni Tundu Lisu Tunakuhitaji .

Wazee nao ,Tundu Tunakuhitaji mjukuu wetu ,
Wababa ,Tundu Lisu mwanetu njoo utuondolee dhulma .
Wamama mwanangu Tundu Lisu tusaidie kwenye vifungu vya Katiba vije vizuri vitusadie hatuna bima ya Saratani wala Figo. Ndugu zetu wanatuachia umaskini wakiugua hayo magonjwa.

Vijana nao kwa mamilioni , Lisu njoo tusaidie hatuna ajira ,pesa zote wanazipeleka kuhonga wapiga kura na kuuza nchi bila uchungu wanauza ardhi sisi tutamiliki nini .

Watoto ,Lisu baba tunahitaji kuishi ,tunatekwa mpaka sisi kwa imani za kishirikina ili watu wapate uongozi wanadanganywa na matapeli wapeleke viungo vya watoto na damu ya watoto .

Albino ,Njoo Tundu Lisu tunauawa wakati kuna majeshi mengi mpaka migambo vijijini ,wahusika ni watu wazito ndani ya CCM hivyo hawagusiki . Lisu ni chaguo la Mungu mkuu mwenye kutoa uzima na kumpa amtakaye kwa wakati wake .


Watanzania wote tuungane na kumuunga mkono Lisu . Kama hakuna katiba mpya basi CCM wasijaribu kabisa kufanya maigizo ya uchaguzi . Bora pesa hizo wapewe polisi na wanajeshi wajengewe nyumba na kuongezea posho za kuwawezesha na wao wasomeshe vizuri watoto wao kama wabunge . Pesa nyingine waongezewe kwenye SACOS zao ili wapunguziwe Riba nchi iwe na amani ya kutosha tunapoelekea kwenye Kupata katiba mpya na sio uchaguzi wa kipumbavu unaoleta mauaji ,utekaji na vilio na huzuni na hasira kwa wananchi ambao ni ndugu na watanzania .

Lisu wapeleke mchakamchaka hao mawakala wa mabeberu
CHADEMA ni wananchi pia, nakubaliana kuhusu jamii yetu, ni jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi, pia unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe
 
CHADEMA ni wananchi pia, nakubaliana kuhusu jamii yetu, ni jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi pia unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe
Chadema peke yake haiwezi kuiondoa CCM madarakani ni lazima pawe na watu ndani ya dola na serikali waliochola kuona matumizi ya Risasi na kuua au kuumiza ndugu zao huku wanufaika wa keki ya Taifa wakiwa ni wachache kama tunavyoona mtu anaamua tu kila akiwa waziri au Rais anabadili pesa na kutengeneza ya kwake alimradi iwe na picha yake na Saini yake . Hali inayosababisha pesa yetu kuwa kama karatasi ya kuvutia sigara kwenye nchi za wenzetu maana hautabiriki muda wa kuwa na thamani . Wanaofanya pesa yetu kuwa na thamani kwa muda mfupi ndio maanainashuka thamani wakati tuna rasilimali nyingi sana na pesa za kigeni ni nyingi kutokana na utalii,madini ,gesi ,biashara ya wanayama hai mpaka wamejaza Mazoo huko Dubai , samaki na kupakana na nchi karibu nane .

Kwa hiyo ni lazima watu wengi wazalendo bila kujali vyama vyao wawe na lugha moja ya kupinga mafisadi . Yaani Fisadi asipate kura hata kama ni wa chama chako .
Ifikieahali CCM ikose kura za Watanganyika wote hata kama wajumbe wamempitisha mtu aliyeuza ardhi yote ya akiba kwa wageni huku wenyeji wakiwa wanafukuzwa na mifugo yao ikikosa mahali pa kufuga .
Kule Zanzibari ardhi ekari elfu moja ni kubwa sana lakini huku Bara ni eneo la kufuga ng'ombe chache sana .
Kuuza ardhi ya Tanganyika ni kuua utajiri wa asili wa wafugaji kama vile Wasukuma ,wagogo,wanyaturu ,Wanyiramba ,Wasonjo,Wambulu ,Wahazabe,Wabarbaigi, Wakurya, Wajaluo, Wa'yamwezi , Warangi ,Waarusha. Lakini pia kuuza ardhi yote ni kuua maisha ya watanzania wengi wanaoishi kwa kubangaiza kwenye kilimo cha kuhama hama na kile cha kutegemea rutuba ya muda mfupi kwenye mapori yenye wanyama wanaotoa mbolea .Wakulima kama Wanyakyusa , Wahehe , Wasambaa, Wazigua, Wangoni , Wakidunda , Waluguru , Wapogoro, WaManyema n.k. Haya makabila kwa asilimia 95 wanategemea ardhi kubwa kuendesha maisha yao.
Mtu anayeingia madarakani ili akaipore ardhi yao na kuiuza kwa wageni hafai kabisa kupigiwa kura kwa sababu anajua kizazi na kizazi cha hawa watu wanaojitegemea na kuishi kwa amani bila msaada wa serikali . Ni ajabu kabisa kama vyama vya siasa vimeshindwa kuwaelimisha wanananchi namna ya kuwapima na kuwajua viongozi wazalendo . Lakini pia ni lazima wananchi wajue uzalendo ni nini na ni yapi matendo yanayoonyesha uzalendo na yapi ni ufisadi.

Hivi kweli kwa mfano Samia aliyeuza bandari zote na ardhi karibu yote kwa wageni unawezaje kukaa naye mezani na kumsifia kisa tu anasema mdomoni kuwa ameruhusu mikutano iliyopo kisheria , chama kinachotaka kupata kura za mamilioni ya wananchi na vizazi vyao watakaokuja kuwa watumwa wa watu wachache baada ya ardhi zote kuuzwa na Sukari wa Tanapa kupewa hadhi ya Jeshi ili kuwalinda wakoloni waliopewa ardhi na misitu na mbuga zote za wanyama . Yaani mwananchi hata akiona kadigidigi karibu na shamba lake akikanyatia anaweza akapigwa risasi na askari Usu wa Tanapa . Digi digi hana hata kila kumi lakini mwafrika aliyeumbwa na Mungu ili amle Digidigi anaweza akauawa au kufungwa kwa kosa la kutafuta kitoweo alichopewa na Mungu kwa sababu tu kuna mwarabu ambaye Mungu hakumpa hao wanyama, akampge risasi na kupeleka nyama Omani na Ulaya .
 
Chadema peke yake haiwezi kuiondoa CCM madarakani ni lazima pawe na watu ndani ya dola na serikali waliochola kuona matumizi ya Risasi na kuua au kuumiza ndugu zao huku wanufaika wa keki ya Taifa wakiwa ni wachache kama tunavyoona mtu anaamua tu kila akiwa waziri au Rais anabadili pesa na kutengeneza ya kwake alimradi iwe na picha yake na Saini yake . Hali inayosababisha pesa yetu kuwa kama karatasi ya kuvutia sigara kwenye nchi za wenzetu maana hautabiriki muda wa kuwa na thamani . Wanaofanya pesa yetu kuwa na thamani kwa muda mfupi ndio maanainashuka thamani wakati tuna rasilimali nyingi sana na pesa za kigeni ni nyingi kutokana na utalii,madini ,gesi ,biashara ya wanayama hai mpaka wamejaza Mazoo huko Dubai , samaki na kupakana na nchi karibu nane .

Kwa hiyo ni lazima watu wengi wazalendo bila kujali vyama vyao wawe na lugha moja ya kupinga mafisadi . Yaani Fisadi asipate kura hata kama ni wa chama chako .
Ifikieahali CCM ikose kura za Watanganyika wote hata kama wajumbe wamempitisha mtu aliyeuza ardhi yote ya akiba kwa wageni huku wenyeji wakiwa wanafukuzwa na mifugo yao ikikosa mahali pa kufuga .
Kule Zanzibari ardhi ekari elfu moja ni kubwa sana lakini huku Bara ni eneo la kufuga ng'ombe chache sana .
Kuuza ardhi ya Tanganyika ni kuua utajiri wa asili wa wafugaji kama vile Wasukuma ,wagogo,wanyaturu ,Wanyiramba ,Wasonjo,Wambulu ,Wahazabe,Wabarbaigi, Wakurya, Wajaluo, Wa'yamwezi , Warangi ,Waarusha. Lakini pia kuuza ardhi yote ni kuua maisha ya watanzania wengi wanaoishi kwa kubangaiza kwenye kilimo cha kuhama hama na kile cha kutegemea rutuba ya muda mfupi kwenye mapori yenye wanyama wanaotoa mbolea .Wakulima kama Wanyakyusa , Wahehe , Wasambaa, Wazigua, Wangoni , Wakidunda , Waluguru , Wapogoro, WaManyema n.k. Haya makabila kwa asilimia 95 wanategemea ardhi kubwa kuendesha maisha yao.
Mtu anayeingia madarakani ili akaipore ardhi yao na kuiuza kwa wageni hafai kabisa kupigiwa kura kwa sababu anajua kizazi na kizazi cha hawa watu wanaojitegemea na kuishi kwa amani bila msaada wa serikali . Ni ajabu kabisa kama vyama vya siasa vimeshindwa kuwaelimisha wanananchi namna ya kuwapima na kuwajua viongozi wazalendo . Lakini pia ni lazima wananchi wajue uzalendo ni nini na ni yapi matendo yanayoonyesha uzalendo na yapi ni ufisadi.

Hivi kweli kwa mfano Samia aliyeuza bandari zote na ardhi karibu yote kwa wageni unawezaje kukaa naye mezani na kumsifia kisa tu anasema mdomoni kuwa ameruhusu mikutano iliyopo kisheria , chama kinachotaka kupata kura za mamilioni ya wananchi na vizazi vyao watakaokuja kuwa watumwa wa watu wachache baada ya ardhi zote kuuzwa na Sukari wa Tanapa kupewa hadhi ya Jeshi ili kuwalinda wakoloni waliopewa ardhi na misitu na mbuga zote za wanyama . Yaani mwananchi hata akiona kadigidigi karibu na shamba lake akikanyatia anaweza akapigwa risasi na askari Usu wa Tanapa . Digi digi hana hata kila kumi lakini mwafrika aliyeumbwa na Mungu ili amle Digidigi anaweza akauawa au kufungwa kwa kosa la kutafuta kitoweo alichopewa na Mungu kwa sababu tu kuna mwarabu ambaye Mungu hakumpa hao wanyama, akampge risasi na kupeleka nyama Omani na Ulaya .
Umenikumbusha kuhusu vibaraka
 
Chama cha wananchi kinaitwaje? Kilisajiliwa na nani na mgombea wao ni nani aliteuliwa na nani?
 
Wakuu salama,

Baada ya CHADEMA kupata mwenyekiti mpya watu wamekuwa na imani kuwa huenda chadema wataitoa madarakani CCM, lakini uhalisia ni kwamba kama wananchi hawatoungana kwa pamoja CCM haiwezi kubanduka pale ikulu.

Lissu mwenyewe amekiri licha ya kampeni ya 'No reforms no election' waliyoianzisha wao kama chama lakini bado wanahitaji nguvu kubwa ya wananchi ili hayo mabadiliko yatokee, amesisitiza kuwa iwapo wananchi hawatounga mkono harakati hizo basi hakuna namna tena na ataendelea kuwaacha waendelee kupitia wanachokipitia.

Siku wananchi wakiamua kwa pamoja hata vyombo vya dola vitasimama upande wao na hakika nguvu ya umma itakuwa imeshinda na kitakuwa kizazi cha dhahabu sana kilicholeta mabadiliko yaliyosubiriwa kwa muda mrefu. Hata malawi wananchi walipoamua kulinda kura zao na kupambana na chama kilichokuwa madarakani hata vyombo vya dola vilisimama na wananchi.

My take; Tusiichukulie kazi ya kuitoa CCM ni jambo la Chadema peke yao
Wanaccm amkeni usingizini kazi tuimalize mapeeeema asubuhi,tupige kwa wingi kiasi kwamba iwe ngumu kuiba kama ilivyokuwa mazoea.
 
Back
Top Bottom