Kaizer Platinum Member Joined Sep 16, 2008 Posts 25,324 Reaction score 17,846 Dec 12, 2011 #61 Excellent said: lol!domo zito ndo balaa Click to expand... Ndo wanakuwaga hao...the likes of Bishangal...umeona RR alivoanika PM zake kule?😛oa
Excellent said: lol!domo zito ndo balaa Click to expand... Ndo wanakuwaga hao...the likes of Bishangal...umeona RR alivoanika PM zake kule?😛oa
happiness win JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 2,461 Reaction score 1,392 Dec 12, 2011 #62 Hapo mapenzi kwishneyyyyyyyyyyyyyyyy. Kila mmoja achape lapa kutafuta mpenzi mpyaaaaaaa
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Dec 12, 2011 Thread starter #63 Kaizer said: Ndo wanakuwaga hao...the likes of Bishangal...umeona RR alivoanika PM zake kule?😛oa Click to expand... nimeona Bishanga kaingia mitini,ndo wale kutongoza mpaka aende kwanza kwa mganga wa kienyeji
Kaizer said: Ndo wanakuwaga hao...the likes of Bishangal...umeona RR alivoanika PM zake kule?😛oa Click to expand... nimeona Bishanga kaingia mitini,ndo wale kutongoza mpaka aende kwanza kwa mganga wa kienyeji
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Dec 12, 2011 Thread starter #64 happiness win said: Hapo mapenzi kwishneyyyyyyyyyyyyyyyy. Kila mmoja achape lapa kutafuta mpenzi mpyaaaaaaa Click to expand... lol!ni kazi kuanza moja
happiness win said: Hapo mapenzi kwishneyyyyyyyyyyyyyyyy. Kila mmoja achape lapa kutafuta mpenzi mpyaaaaaaa Click to expand... lol!ni kazi kuanza moja
N Namjeny Member Joined Nov 26, 2011 Posts 31 Reaction score 8 Dec 13, 2011 #65 jamaa wameamua tu kuwa wawazi ila kimsingi sioni tatizo kwani jambo hili si geni kabisa nani ambaye hajawahi kutoa hamu nje relationship yake na awe wa kwanza kushangaa...sema jamaa wamekuwa wawazi...
jamaa wameamua tu kuwa wawazi ila kimsingi sioni tatizo kwani jambo hili si geni kabisa nani ambaye hajawahi kutoa hamu nje relationship yake na awe wa kwanza kushangaa...sema jamaa wamekuwa wawazi...