Wa Mikoani kuhusu bia kupungua bei Taifa Star ikishinda

Sasa ma RC wengi wamekosa ubunifu MAKONDA HUWA ANAJITAHIDI KUWA MBUNIFU JAPOKUWA HUMO HUMO HUWA ANAKURUPUSHA MAJANGA AMBAYO MENGINE HUWA YANAIKOST NCHI NA BABA YAKE MLEZI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka wazo langu halipo kwaajili ya kupinga wala kubeza alichosema mkuu wetu wa mkoa Mheshimiwa PAUL MAKONDA.


Je ni kwanini alichagua kushusha bei ya vinywaji? Kwa ninavyoona hapa atakuwa kuna watu hajawatendea haki! Kumbuka kunywa ni mapendeleo ya mtu, hivyo kuna watu wengi amewaacha!

Kuna vitu vya lazima ambavyo kila mtu lazima atumie kama vile Unga,sukari, mchele, mafuta ya kupikia, nk, Kwanini asingeshusha hivi vitu? Hakika ingekuwa hamasa kwa asilimia 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu ya Taifa official jezi yake (sio ile ya msalaba) ina label kwa mbele inasomeka: SERENGETI
 
Ameegemea kwenye vinywaji kwa sababu baada ya huo ushindi, mashabiki wengi watapenda kupoza makoo yao kutokana na shamrashamra za ushindi.
 
Ni kweli bhana.
Sisi wa mkoani tunywe chibuku wakati Bia zitakuwapo za bwerere iwapo kina samatta watashinda!
Sasa kwanini wa dar tu.?
Ina maana sisi ni wakimbizi??

"acha tulewe sisi "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…