Wa Mikoani tukutane hapa

kafanana nakisamkereti, hao ndio wale ukikutana nao usiku kwa mwanaume inakua noma sana maana wanapenda kuvamia mapumbu
 
Hako ni shida kakiingia kwenye migomba na ukikategesha kakisanuka kanashindilia udogo hadi uje utoe na sururu sijui kanashindilia na nini kiasi kile na kamnyama kenyewe ndio kama hako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…