Wa mwanzo alileta billi ya nywele sh laki moja, huyu wa sasa, elfu 12. Japo ni nyingi ila pana unafuu!

Wa mwanzo alileta billi ya nywele sh laki moja, huyu wa sasa, elfu 12. Japo ni nyingi ila pana unafuu!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
Ndo ivo, nimetoka kulipia bill ya salon Tsh 12,000! Japo uchumi unabana, ila nimeona pana unafuu na invoice niliyopigwa na yule wa mwanzo aliyeniambia nimtumie Tsh laki moja kwa ajili ya salon, na nikatuma huku nikibaki napiga miayo! 😛
 
Kwahio una wanawake 2, sasa huyo mwanamke nae akiwa na mabwana wawili. Itakuwa mbwa kaliwa na mbwa[emoji111]



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kwahio una wanawake 2, sasa huyo mwanamke nae akiwa na mabwana wawili. Itakuwa mbwa kaliwa na mbwa[emoji111]



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Huyo wa zamani, ilikuwa ni zamani kidogo ile tu nimejaribu kufanya comparison nione kama kuna cost benefits...
 
Nimeamini kulea mwanamke ni gharama mkuu! Tuwaonege tu wamependeza huku bara barani... Kuna mtu kaumia mfukoni ujue...
Kuna wengine huwa wanafanya hivyo ili umwache maana hakutaki ila anashindwa kukwambia!
 
Wa kwanza atakuwa wa kariakoo yani toto ya jijini na wa mwisho atakuwa wa kolomije.

Afu unapesa ya kuchezea sana, hiyo pesa si bora nipeleke kwenye kikao nipendezeshe meza na wana.
 
Back
Top Bottom