Wa-Nigeria wamchanganya Diamond Platnumz kwenye tuzo kubwa nchini humo

Wa-Nigeria wamchanganya Diamond Platnumz kwenye tuzo kubwa nchini humo

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,222
Reaction score
4,689
Diamond Platnumz amekua noinated kwenye tuzo kubwa kabisa nchini Nigeria zinazojulikana kama The Headies Awards . Diamond yupo kwenye category ya Best African Artist ambayo inajumuisha wasanii kutoka nje ya Nigeria waliofanya
vizuri nchini humo. Chakushangaza katika kutaja nominees hawa wakamuandika Diamond kama Diamondz na baada ya utafiti tuliofanya kwenye mtandao , kuna waNigeria wengi wanafikiri Diamond Platnumz anaitwa Diamondz. Hivi bdivyo walivyoandika :-

21. BEST AFRICAN ARTISTE

A non-Nigerian award category for an individual African artiste with the most outstanding single/album and astonishing achievements and infiltration into Nigeria in year under review.

1. MAFIKIZOLO
2. SARKODIE
3. DIAMONDZ
4. R2BEES

Tuzo hizi zinatarajia kufanyika tarehe 25 mwezi huu na ina maudhui yasemayo ” Feel the Passion”…
 
ANASTAHILI.
Kujituma ndio siri ya mafanikio
 
Davido yupo kundi la Diamondz? Kama yupo asijisumbuwe kwenda.
 
Diamond Platnumz amekua noinated kwenye tuzo kubwa kabisa nchini Nigeria zinazojulikana kama The Headies Awards . Diamond yupo kwenye category ya Best African Artist ambayo inajumuisha wasanii kutoka nje ya Nigeria waliofanya
vizuri nchini humo. Chakushangaza katika kutaja nominees hawa wakamuandika Diamond kama Diamondz na baada ya utafiti tuliofanya kwenye mtandao , kuna waNigeria wengi wanafikiri Diamond Platnumz anaitwa Diamondz. Hivi bdivyo walivyoandika :-

21. BEST AFRICAN ARTISTE

A non-Nigerian award category for an individual African artiste with the most outstanding single/album and astonishing achievements and infiltration into Nigeria in year under review.

1. MAFIKIZOLO
2. SARKODIE
3. DIAMONDZ
4. R2BEES

Tuzo hizi zinatarajia kufanyika tarehe 25 mwezi huu na ina maudhui yasemayo ” Feel the Passion”…

SoundClick artist: Diamondz - Diamondz- Rapper/Producer
www​.soundclick.com/.../default.cfm?...
Diamondz- Rapper/Producer. ... navigation. » main artist page » music » widgets and ... Diamondz. Advertisement.
 
Halaf ikawajeee!!!!"au story imeishia hapoo
 
Hiyo tuzo ni ya mafikizolo bila kupepesa macho....
 
Davido yupo kundi la Diamondz? Kama yupo asijisumbuwe kwenda.

mbona unaropoka mkuu soma list na uelewe category hii ni ya A non-Nigerian award then platnumz majuzi kachukua mwimbaji bora irwama awards afrika
 
mbona unaropoka mkuu soma list na uelewe category hii ni ya A non-Nigerian award then platnumz majuzi kachukua mwimbaji bora afrika kwani davido ndio nani

Davido ndio Antidote ya Diamond, usipanick dogo Davido ni next level.
 
Back
Top Bottom