Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa baada ya kubanwa na alichorekodiwa akajisemea hamkunirekodi vizuri, ndivyo na huyu rekoding'i imeeksipaya.
CUF ya Lipumba na ACTHapo ni UDP na TLP au
CCM kwa CCM
Shida ilianzia hapo kwenye awamu ya 5.
Hao wote ni mazuzu na mavuvuzela tuJumbe Brown, johnthebaptist kujifunza wizi anzeni na mbio [emoji16][emoji16].
Hapo ni UDP na TLP au
CCM kwa CCM
Kwa kweli kulima kwenye kingo za mto au karibu na vyanzo vya maji ni hatari sana kimazingira. Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 inataka watu kuacha kufanya shughuli zo zote za kibidanamu kwa umbali wa mita 60 kutoka kingo za mto au vyanzo vya maji ili kuweza kupata mtiririko wa maji mengi na masafi kwenye mito.
Kumbuka wanatumia na Pesticides ambazo Mvua ikija zinarudi Mitoni na kuua mazalio ya Samaki.Kwa kweli kulima kwenye kingo za mto au karibu na vyanzo vya maji ni hatari sana kimazingira. Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 inataka watu kuacha kufanya shughuli zo zote za kibidanamu kwa umbali wa mita 60 kutoka kingo za mto au vyanzo vya maji ili kuweza kupata mtiririko wa maji mengi na masafi kwenye mito.
Wameanza kujitambua na lugha inaelekea imeanza kueleweka darasani
Magufuli amafanya kazi ya Mama Samia iwe ngumu kwasababu ya kutoa ahadi zake za kuropoka bila kujua madhara ya baadae. Now mama has to clean his messyShida ilianzia hapo kwenye awamu ya 5.
Kumbuka pia na issue ya machinga.
Anawezaje kujisafisha wakati nayeye alikuwa huo mtumbwi mmoja?Magufuli amafanya kazi ya Mama Samia iwe ngumu kwasababu ya kutoa ahadi zake za kuropoka bila kujua madhara ya baadae. Now mama has to clean his messy
Magufuli amafanya kazi ya Mama Samia iwe ngumu kwasababu ya kutoa ahadi zake za kuropoka bila kujua madhara ya baadae. Now mama has to clean his messy
Kila awamu inakuja na mambo ya kumshusha aliyepita...
Inasikitisha sana...
Yasikuchoshe MaCCM yote Akili zao hazina akili.