Waafrika Bado wana Unyani kwa asilimia kubwa sana. Uthibitisho.

Waafrika Bado wana Unyani kwa asilimia kubwa sana. Uthibitisho.

Daah.
Bonge la bandiko, nikiangalia chanzo cha Ferrari, VW na maendeleo mengine ya viwanda kwenye nchi za Italy na Germany hua nasema walikua na reason ya kutawala ivo kwa manufaa ya vizazi vyao.

Nawaza tu kiongozi anasema sikupi ww keki sababu tu ni wa chama cha upande wa pili (uzinduzi wa mradi wa kinyerezi II, 2016)

Inashangaza nusu karne bado AU inafadhiliwa na EU, US na China. Bajeti za serikali na tafiti za kisayansi bado ni misaada.

Ni afrika ambapo mtu akipaisha ndege anakamatwa na kufungwa,

Ni afrika sehemu kubwa yafaa kwa kilimo lakini watu wanakufa njaa twasubiri BritishAid au msaada kutoka watu wa marekani

Malaysia walikuja Tanzania kujifunza namna ya kulima palm oil ila 2016 tumeenda malaysia kujifunza namna ya kukuza zao la palm oil daaah

Afrika twategemea hisani na busara ya mkubwa mfano bwana yule,

Afrika ooh Afrika nani kakuroga[emoji22] [emoji22]
 
ha ha! mkuu binadamu wote tunaasili ya unyama tunajitoa kwenye hilo kundi kwasababu tuna ufahamu kushinda hao wanyama wenzetu.. sheria ni mawazo ambayo hutungwa ili yafuatwe na kunakuwa na misingi yake sasa kutokana na asili ya unyama tuliyonayo mengine tunashindwa kuyafuata maana sheria nyengine tunazojikataza ni sheria mama zakimazingira ambazo ni ngumu kuzitekeleza sasa hapo ndipo tunaporudi kwenye unyama so ni jambo lakawaida ila kwa haya mengine waafrika tunahitaji elimu nakujitambua tu..
heshima ya muafrika itatoka kwenye ubongo wake wala si kujibadili rangi no nikujitambau hapo atastaarabika,ataaminika,atathaminika...
tumekuwa watumwa wa fikra ndio maana tunadharaulika,umaskini umetuathiri mpk kwenye akili tumekuwa kama hatujitambua tunaangamizana tu sisi kwa sisi kwa tabia hizi lzm dharau ihusike tu kwa namna yoyote.
tunahitaji kujitambua kiakili zaidi,kuna kiongozi mmoja alisisitiza hili Elimu!,Elimu!,Elimu!
bila shaka mtu huyu ameona tatizo mahala fulani.
Hahaha, malaika mdg anasema yy alipo malaika hushuka[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Akina Mobutu nahisi huzaliwa kila baada ya muda kwenye nchi fulani afrika
 
Ww ni muafrika, au ,maana kama vile umejitoa kwenye uafrika
 
Hii dhana ya kuwa Binadam walitokana na nyani inawezekana kwa Waafrika ikawa ina ukwel flan. Ukikaa kwa makini ukatafakari mambo yanayoendelea katika nchi za kiafrika. Na yanayotendwa na waafrika weusi nchi za wazungu utagundua kuna ukwel flan.

Kiongoz wa kiafrika akiwa Rais au wadhifa flan huwa anaamini ni milele na wengine wote hawastahili. Huwa anajenga himaya yake na kuilinda kwa nguvu zote. Hii ni tabia ya nyani.ukienda porin nyani wana maeneo yao. Dume wa lile eneo na ile jamii anaamini yeye ndo yeye na hatak mwingne asogelee lile eneo.ni kwa ugomv mkubwa anaachia.

Angalia nchi ya gambia, nenda rwanda angalia uganda na nchi kadhaa. Viongoz wamekuwa wakatili kulinsa nafas zao.kwa hal na mali.kwa damu na pesa.
Wanawekeana sumu na kuuana kwa namna mbalimbal ili wadumu kwenye utawala wao.

Ni miaka michache tu nyuma waafrika kusin weus walikuwa wanaua weus wenzao na kuwataka watoke nchin mwao. Walishasahau miaka ya nyuma waafrika hawa hawa waliwasaidia katika mapambano dhid ya ubaguz nchin mwao.wao ndo wamekuwa wabaguzi.

Ukienda marekan idad ya waafrika wanaouana ni kubwa kuliko wanaouawa na wazungu. Ni jambo la ajab sana hawana utu hata kidogo.

Rwanda na burund yale mauaji ya kimbali yalifanywa na waafrika wa nchi moja wenyewe kwa wenyewe na nchi za afrika zilinyamaza mpaka walipoingilia wazungu. Na mbaya zaidi mpaka leo nch hizi za afrika zinawalaumu wazungu kwa kutozuia mauaji yale. Wakat rwanda na burundi zimezungukwa na nchi kubwa za kiafrika huu ni unyani

Umeona wagen wanavyoingia na kupora utajiri nchi za afrika utdhan waafrika wenyewe hawapo?wakisaidiana na viongoz wa kiafrika?huu ni unyani kabisa.

Chuki wanazofanyiana wanasiasa walioko madarakan na wapinzani wao unaona kabisa si binadamu ni nyani. Kuwa harass,kuwabambikia kesi, kutokubali kukoselewa n.k unagundua waafrika wana unyan zaidi kuliko ubinadam. Maana binadam hawez mfanyia binadam mwenzie vile anavyofanya.

Bado kuna matendo mengi ambayo utagundua kuna vimelea vingi vya unyan uafrikan kuliko kwa wenzetu huko.
Siku mtu kutoka Nchi nyingine akisema Watz ni nyani mapovu yatakutoka sana, leo umesema mwenyewe kuwa wewe ni NYANI
 
Hii dhana ya kuwa Binadam walitokana na nyani inawezekana kwa Waafrika ikawa ina ukwel flan. Ukikaa kwa makini ukatafakari mambo yanayoendelea katika nchi za kiafrika. Na yanayotendwa na waafrika weusi nchi za wazungu utagundua kuna ukwel flan.

Kiongoz wa kiafrika akiwa Rais au wadhifa flan huwa anaamini ni milele na wengine wote hawastahili. Huwa anajenga himaya yake na kuilinda kwa nguvu zote. Hii ni tabia ya nyani.ukienda porin nyani wana maeneo yao. Dume wa lile eneo na ile jamii anaamini yeye ndo yeye na hatak mwingne asogelee lile eneo.ni kwa ugomv mkubwa anaachia.

Angalia nchi ya gambia, nenda rwanda angalia uganda na nchi kadhaa. Viongoz wamekuwa wakatili kulinsa nafas zao.kwa hal na mali.kwa damu na pesa.
Wanawekeana sumu na kuuana kwa namna mbalimbal ili wadumu kwenye utawala wao.

Ni miaka michache tu nyuma waafrika kusin weus walikuwa wanaua weus wenzao na kuwataka watoke nchin mwao. Walishasahau miaka ya nyuma waafrika hawa hawa waliwasaidia katika mapambano dhid ya ubaguz nchin mwao.wao ndo wamekuwa wabaguzi.

Ukienda marekan idad ya waafrika wanaouana ni kubwa kuliko wanaouawa na wazungu. Ni jambo la ajab sana hawana utu hata kidogo.

Rwanda na burund yale mauaji ya kimbali yalifanywa na waafrika wa nchi moja wenyewe kwa wenyewe na nchi za afrika zilinyamaza mpaka walipoingilia wazungu. Na mbaya zaidi mpaka leo nch hizi za afrika zinawalaumu wazungu kwa kutozuia mauaji yale. Wakat rwanda na burundi zimezungukwa na nchi kubwa za kiafrika huu ni unyani

Umeona wagen wanavyoingia na kupora utajiri nchi za afrika utdhan waafrika wenyewe hawapo?wakisaidiana na viongoz wa kiafrika?huu ni unyani kabisa.

Chuki wanazofanyiana wanasiasa walioko madarakan na wapinzani wao unaona kabisa si binadamu ni nyani. Kuwa harass,kuwabambikia kesi, kutokubali kukoselewa n.k unagundua waafrika wana unyan zaidi kuliko ubinadam. Maana binadam hawez mfanyia binadam mwenzie vile anavyofanya.

Bado kuna matendo mengi ambayo utagundua kuna vimelea vingi vya unyan uafrikan kuliko kwa wenzetu huko.
Usiniambie kwamba wakina K.Nkrumah,J.K Nyerere,P.Lumumba,Luther King ,Malcom X na wengineo walikuwa kama usemavyo.
Kwa muktadha huu,nadhani ww ni nyani zaidi kwa fikra zako kuliko hao niliowataja na brilliant minds nyinginezo nyiiingii toka beautiful Africa.
 
See! Unathibitisha wewe ni nyani. Binadam wa kawaida asingetoa maneno yakom angetumia akili angekuja na majib mujarabi. Kwa haya majibu ni kweli wewe ni sehemu ya unyani.


Nyani wewe na familia yako,kelbu nuksani ww
 
wala sikasiriki kuitwa nyani, nitakasirika vp wakati mimi nyani kweli?
 
......Ukienda marekan idad ya waafrika wanaouana ni kubwa kuliko wanaouawa na wazungu. Ni jambo la ajab sana hawana utu hata kidogo.....

.
Hapa ndio panaponiacha hoi kabisa!
Wamezaliana huko, karibu kizazi cha sita au saba hivi. Nilitegemea wangebadilishwa na mazingira, elimu na au hata mtindomaisha(lifestyle) ili waonyeshe utofauti na wenzao wa huku baragiza. Laini wapi, upumbavu ni uleule kama wa chama cha kijani.
 
Back
Top Bottom