Waafrika Bado wana Unyani kwa asilimia kubwa sana. Uthibitisho.

Daah.
Bonge la bandiko, nikiangalia chanzo cha Ferrari, VW na maendeleo mengine ya viwanda kwenye nchi za Italy na Germany hua nasema walikua na reason ya kutawala ivo kwa manufaa ya vizazi vyao.

Nawaza tu kiongozi anasema sikupi ww keki sababu tu ni wa chama cha upande wa pili (uzinduzi wa mradi wa kinyerezi II, 2016)

Inashangaza nusu karne bado AU inafadhiliwa na EU, US na China. Bajeti za serikali na tafiti za kisayansi bado ni misaada.

Ni afrika ambapo mtu akipaisha ndege anakamatwa na kufungwa,

Ni afrika sehemu kubwa yafaa kwa kilimo lakini watu wanakufa njaa twasubiri BritishAid au msaada kutoka watu wa marekani

Malaysia walikuja Tanzania kujifunza namna ya kulima palm oil ila 2016 tumeenda malaysia kujifunza namna ya kukuza zao la palm oil daaah

Afrika twategemea hisani na busara ya mkubwa mfano bwana yule,

Afrika ooh Afrika nani kakuroga[emoji22] [emoji22]
 
Hahaha, malaika mdg anasema yy alipo malaika hushuka[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Akina Mobutu nahisi huzaliwa kila baada ya muda kwenye nchi fulani afrika
 
Ww ni muafrika, au ,maana kama vile umejitoa kwenye uafrika
 
Siku mtu kutoka Nchi nyingine akisema Watz ni nyani mapovu yatakutoka sana, leo umesema mwenyewe kuwa wewe ni NYANI
 
Usiniambie kwamba wakina K.Nkrumah,J.K Nyerere,P.Lumumba,Luther King ,Malcom X na wengineo walikuwa kama usemavyo.
Kwa muktadha huu,nadhani ww ni nyani zaidi kwa fikra zako kuliko hao niliowataja na brilliant minds nyinginezo nyiiingii toka beautiful Africa.
 
See! Unathibitisha wewe ni nyani. Binadam wa kawaida asingetoa maneno yakom angetumia akili angekuja na majib mujarabi. Kwa haya majibu ni kweli wewe ni sehemu ya unyani.


Nyani wewe na familia yako,kelbu nuksani ww
 
wala sikasiriki kuitwa nyani, nitakasirika vp wakati mimi nyani kweli?
 
......Ukienda marekan idad ya waafrika wanaouana ni kubwa kuliko wanaouawa na wazungu. Ni jambo la ajab sana hawana utu hata kidogo.....

.
Hapa ndio panaponiacha hoi kabisa!
Wamezaliana huko, karibu kizazi cha sita au saba hivi. Nilitegemea wangebadilishwa na mazingira, elimu na au hata mtindomaisha(lifestyle) ili waonyeshe utofauti na wenzao wa huku baragiza. Laini wapi, upumbavu ni uleule kama wa chama cha kijani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…